Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,176
- 41,990
Zitto unamuelewa vizuri sana usijitie upumbavu wa akili, na kama unataka kumjua zaidi basi endeleeni na chuki zenu zisizo n sababu. mwaka huu lazima kieleweke,lazima demokrasia ifwate ndani ya CDM au tangazeni mapema kuwa CDM ni chama cha.......
watoto lazima wajitenge popote pale