JAPHETtumpa
Senior Member
- Feb 25, 2012
- 136
- 35
ushauri kwa zito ni kwamba kama bado anataka kujifunza zaidi ajaribu kuwa makini sana asiwe mwepesi wa kulaumu asikilize watu wanaomkosoa zaidi kuliko wale wanaomsifu,afahamu kuna makosa ya wazi anayoyafanya kama vile kutoambilika,kujiamini kupita kiasi mfano mzuri ni hayo maneno kwamba hafuati upepo,nani kamwambia anafuata upepo.
zito afahamu ccm wanastaili yao ya kumtumia na yeye ameruhusu atumiwe kwa sababu anazojua yeye, ccm wakifanikiwa na yeye pengine atafanikiwa kwa ajenda yake lakini kama hawa jamaa zake wakishindwa basi na yeye kwisha habari yake
huenda haya yote si kweli lakini kuna watu tunafikiri hivyo
zito afahamu ccm wanastaili yao ya kumtumia na yeye ameruhusu atumiwe kwa sababu anazojua yeye, ccm wakifanikiwa na yeye pengine atafanikiwa kwa ajenda yake lakini kama hawa jamaa zake wakishindwa basi na yeye kwisha habari yake
huenda haya yote si kweli lakini kuna watu tunafikiri hivyo