Zitto afanya mkutano wa hadhara mjini Katesh wilayani Hanang'

Status
Not open for further replies.
Naytsory acha unaa eleza ukweli! Mkutano ulikuwa wa mbowe alialikwa na wachaga wenzake kanisani kashtuka kuja kamtuma muislam kupotezea. Cdm ss yajikita Lutheran?toa ukweli ndio game la siasa na sio kudanganya Wajumbe humu .

Suala mkutano ulikuwa wa nani haliwasaidii wanajamvi, udini na ukabila nenda kwenye majukwaa husika. Hili ni jukwaa la siasa na tunaeleza nini kimefanyika wapi na nani kafanya kwa faida ya nani. Unaha uko wapi hapa? Yawezekana uelewa wako hautoshi.
 
Haya ndio majungu Zitto ni Zitto siku zote hizo sura mbili ni zipi? au hiyo nyingine aliyoibeba ni Dr. Slaa au Mbowe?

Chama
Gongo la mboto DSM
Ukitaka kujua sura zake mbili na kama ni majungu suburi ripoti ta kamati ndogo inayoongozwa na mzee Ngwilizi, mambo yote yapo hapo na ndio anaenda kuwa fired na chama!
 
Zitto anapotea taratibu kwenye medali za siasa

I do not trust Zitto's anymore (always personal move rather than party move)
Kwani mikutano ya M4C ikiwa inafanyika viongozi wengine wa chadema hawaruhusiwi kuendesha mikutano?
 
Tunaisubiri kwa hamu hiyo siku ya kupiga kura

Chama
Gongo la mboto DSM
watamlazimisha ajitoe kama walivyo fanya kwenye uchaguzi wa umwenyekiti,MBOE akapita bila kupingwa,na safari hii point ni ileile,neno kwamaslahi ya chama jitoe litasimama.
 
Mkuu Naytsory, kwanza asante kwa taarifa. Naomba ufafanuzi kidogo, aliyefanya mkutano ni ZZK au Rose Kamili?!. Nombeni tuache ushabiki uliopitiliza!, headline inasema ZZK afanya mkutano Katesh!, inside story unamtaja Kamili ambaye base yake ni Katesh!.

Kwa maoni yangu mkutano ni wa Rose Kamili, ZZK atakuwa alikaribishwa kuuhutubia!.
Naunga mkono utoaji wa taarifa zozote humu jf, ila natatizwa sana na taarifa zenye "ill motives behind"!.
Zito ni bosi wa Rose Kamili, so seniority takes precedence, hence ni Zito alifanya mkutano
 

Attachments

  • Mkutano wa Chadema leo Mjini Katesh (Hanang').jpg
    Mkutano wa Chadema leo Mjini Katesh (Hanang').jpg
    188.9 KB · Views: 412
  • Zitto akihutubia mamia ya watu wilayani Hanang' leo tar. 12.08.2012..jpg
    Zitto akihutubia mamia ya watu wilayani Hanang' leo tar. 12.08.2012..jpg
    317.7 KB · Views: 401
Usiongee kitu kama hujui ,amekopa hela ya ruzuku ya chama ambayo inatokana na kura za wananchi walizopiga 2010,ambazo ni kodi za wananchi wanazolipa serikalin.mkumbusheni mzee huyo alipe deni ,
Acha uzushi, alikopa ya saccos, na saccos ina sheria ambazo alizozifuata. saccos ina hela za wanachama, na mkopo au misaada mbalimbali.Hata kama nyingine ni ruzuku bado sheria za saccos ndizo zinambana kutegemea makubaliano ya saccos na chama.Pia ujue Saccos huwa ikimpatia mtu mkopo huwa inautoa katika fund mbalimbali na marejesho yake ni hivyo hivyo ili kutrack mikopo, madeni nafaida/hasara.

Kuchelewa lipa deni la Saccos ni kujiongezea deni kupitia compound interest na penalties.Na kama Gurantee yake ni mshahara amabo analipwa na mhasibu basi hana pa kukimbilia.Kama ni mali kaweka nayo itachukuliwa.Sasa kama wahusika hawajaona mahalia alipokosea mkataba,nini kelele sasa.Kukopa ni kitu cha kawaida duniani, na souce ya mitaji.Au ulitaka awe fisadi?

Kelele yako ni assumption kuwa CDM wanaendeshwa kama Libya ya Gaddafi au Taasisi ya Urais wa bongo.Kwa kiongozi makini katika siasa ambazo watu wanatafuta loophole ya kukuangusha hawezi misuse fund au kutumia nguvu kujichukulia hela kama unavyotaka bwabwaja hapa.
 
zito:A S-rose: komaanao hao cdm zito ni jembe hakuna mbunge kama zito kwa miaka kumi hii cheki hoja halizo toa bungen mpaka sasa nani anamfikia:A S-rose:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom