zito kabweeee slaaaa mboweeee na makamanda wengine

mchambuzixx

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
1,292
943
Jamani migogoro katika vyama ni sehemu ya demokrasia hata mtu aseme anataka kwenda ikulu ni haki yake kusema hatuna haja ya kubishana humu kwa heshima na taadhima naomba niwapongeze makamanda wote walioshiriki kampeni arumeru kwa ushindi na nmpongeze mh kabwe zito kazi uliyofanya kiwira kirumba na lizaibon tumeiona hongera mkuu hayo ndo majukumu ya kugawana madaraka kama wote tungeenda arumeru kirumba, kiwira na lizaibon tungezikosa maana nguvu iliyopelekwa kirumba na magamba ni kubwa mno.

Tungezubaa tu wangechukua hongera ziende kwa wenje highness na wengine ila jaman kuna mtu anaitwa chiku abwao huyu mama ni noma kwa kweli anakijenga chama balaa alikuwepo mwanzo mwisho lizaibon na kiwira mama hongera sana tafuta jimbo iringa uwezo unao sehemu tulizoahidiwa tutashinda tumeshinda na zile zingine kama changombe dodoma tunahitaji nguvu ila kwa kata ya vijibweni nilijua lazima kura zigawanywe kwa vile kila chama kilikuwa na nguvu na ndo maana kura za cuf na chadema zikijumlishwa tunaizid ccm.

Siku nyingine ushirikiano ni muhimu katika upinzani hasa sehemu ambazo kila chama kina nguvu likizo inaisha kesho na kama nilivyoahidi kuwa kura yangu haipotei na nilitoka mwanza kuja arusha kushiriki zoezi hili na kazi tumeimaliza kesho narudi mwanza kuendelea kulijenga taifa ni hayo tu wana jf.
 
Hongera sana Mh. Chiku, kazana mamaaaaaaaaaa. Wanawake tuna nguvu kubwa sana, utafika mbali
 
Wewe ni wa ukweli, pia tutoe elimu kwa jamii inayotuzunguka, kwamba mwisho wa kunyonywa na zii zii em umefika, ni lazima tujikomboe wenyewe, ni heri ushinde njaa cku moja ili uje ushibe milele..., tusidanganyike tena. 2015 nchi hii ikombolewe....
 
Jamani migogoro katika vyama ni sehemu ya demokrasia hata mtu aseme anataka kwenda ikulu ni haki yake kusema hatuna haja ya kubishana humu kwa heshima na taadhima naomba niwapongeze makamanda wote walioshiriki kampeni arumeru kwa ushindi na nmpongeze mh kabwe zito kazi uliyofanya kiwira kirumba na lizaibon tumeiona hongera mkuu hayo ndo majukumu ya kugawana madaraka kama wote tungeenda arumeru kirumba, kiwira na lizaibon tungezikosa maana nguvu iliyopelekwa kirumba na magamba ni kubwa mno.

Tungezubaa tu wangechukua hongera ziende kwa wenje highness na wengine ila jaman kuna mtu anaitwa chiku abwao huyu mama ni noma kwa kweli anakijenga chama balaa alikuwepo mwanzo mwisho lizaibon na kiwira mama hongera sana tafuta jimbo iringa uwezo unao sehemu tulizoahidiwa tutashinda tumeshinda na zile zingine kama changombe dodoma tunahitaji nguvu ila kwa kata ya vijibweni nilijua lazima kura zigawanywe kwa vile kila chama kilikuwa na nguvu na ndo maana kura za cuf na chadema zikijumlishwa tunaizid ccm

Siku nyingine ushirikiano ni muhimu katika upinzani hasa sehemu ambazo kila chama kina nguvu likizo inaisha kesho na kama nilivyoahidi kuwa kura yangu haipotei na nilitoka mwanza kuja arusha kushiriki zoezi hili na kazi tumeimaliza kesho narudi mwanza kuendelea kulijenga taifa ni hayo tu wana jf.
Hapo kwenye wekundu hapo panahusika saaaaana! hiki ni kichwa makini sana hapa Iringa. Huyu mama pamoja na Mch. Msigwa wamekuwa chachu ya mageuzi hapa mjini. Tunaliandaa hili jembe kama vp 2015 (hata kabla ya hapo) kwaajili ya kumreplace fisadi wa elimu, Lukuvi pale Isimani.
 
karibu sana mwanza mkuu,na kama kawaida hapa kirumba hatujakuangusha,tumehakikisha magamba akina yairo,gachuma na ngeleja wametokea mlango wa kike.pipozpawaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Viongozi wote wa CHADEMA kwa kweli mnastahili hongera. Mmepiga kazi ambayo sote tumeikubali.
 
Baada ya kugundua mbinu hii nayo imesaidia sana pia, kama waliokuwa jimboni kadi zao za kupigia kura zilinunuliwa, basi yukaona isiwe sida, tuka wahamasisha wale angalau tu walio kuwa safari au wamehama kikazi wasafiri tu kwa siku moja na wapige kura na kurudi tena kazini mwao, si amini safari yangu ya Arusha kama ingeongeza kura moja. NEC endeleeni tupige kura juma pili na nchi ikombolewe. Thanks very much CHADEMA league kote Tanganyika na Zanzibar
 
Back
Top Bottom