Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
nina shida ya kausafiri kwa ajili ya mke wangu kuendea sokoni, watu wengi wamenishauri NIAGIZE nje (JP) inakuwa nafuu kiasi, naweza sevu hata ada ya mtoto! naomba mnifahamishe nitatakiwa kulipia vitu gani na gani kwa kiasi gani kuanzia bandarini mpaka kwa mke wangu? i'll aprishieti eni help, teh teh!