Zipi kazi na Yapi ni Majukumu ya Mwanamke au Mwanaume?

Watu wanasema hawawezi kumalizwa kwa kufua ma-jeans ya wanaume, wewe unasema mtu atamalizwa kwa kutokufua. Atamalizwa vipi?

Au ndizo zile fikra za kimfumo dume kuwa kama hujamtumikia mume kama wewe punda wake kirongwe basi atakutafutia nyumba ndogo?

Pole sana, manake huko ni kushikiwa akili na mfumo-dume
hii ndio inakusumbua
:washing::washing::washing:
:crazy::crazy::crazy::crazy::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus::focus:
 
Back
Top Bottom