salvatory mushi
Member
- May 28, 2012
- 8
- 1
kweli ni bora umfadhili mbuzi utakunywa supu c binadamu,yani m2 kukupa hata info n kitendo cha kushuru,.............nimeshajua nyie ndo mnaopewaga majibu kwenye intervw
Inakera unakuta tangazo la kazi, unafungua unakutana na link, hebu jiulize wewe unaeweka link mtu mwenye simu ndogo ataweza kuifungua kweli wakati mi-blogs yenu inatafuna mi-kb! Au mnataka tujue mnamiliki blogs!
Fanyeni copy & paste (MFANO MAX MELO) then kwa kutia naskshi unasema "for more info" then unatupia link.
Badilikeni jamani.......mjini shule!
Inakera unakuta tangazo la kazi, unafungua unakutana na link, hebu jiulize wewe unaeweka link mtu mwenye simu ndogo ataweza kuifungua kweli wakati mi-blogs yenu inatafuna mi-kb! Au mnataka tujue mnamiliki blogs!
Fanyeni copy & paste (MFANO MAX MELO) then kwa kutia naskshi unasema "for more info" then unatupia link.
Badilikeni jamani.......mjini shule!