Hapo hasira ilipanda kichwani,lakini tukiacha yote jamaa alikuwa bora na amechangia sana watu kuendelea kupenda soka japo nae "hakufunga goli 1000 na hakuchukua world cup mara 3"(jokes)
jamani hiki ni kichwa cha kawaida ama jamaa alibeba mizimu ya ufaransa..kichwa kimdondoshe hivi loh!!we zidane pumzika kwa amani kwa style hii mmh ulipokuwa unaelekea ungeingia na kisu uwanjani