2po msibani tunaomboleza, magazeti tunasoma yenye habari a msiba na zaidi yaliyoandika fikra na mitazamo ya mpiganaji wa watu Regia Mtema..kalaleni majira..Zittto ongea toka moyoni maana nakumbuka maneno yako kwa wapiga kura wako wakati ulipoenda kupomba kura za ubunge.
Natoa wito wanaChadema wote kususia gazeti hili la Majira-CCM lisilo na chembe ya ubinadamu kwa kifo cha mwenzetu.