Zimbabwe: The turmoil, reconciliation, and the future!

Kuna madai kuwa Angola inapeleka askari 2,500 Zimbabwe kumsaidia Bob "kupambana" na wapinzani!

Kama ni kweli basi muda wa Mugabe ndio umekwisha. Angola wanaongea kireno na ni wachache sana ambao wanaongea kiingereza watakuwa na wakati mgumu sana.

Kama ni hivyo hao watakuwa wameongezwa kwenye jeshi lake maalum la 'Presidential Guards' ambao walijengewa nyumba za kuishi na kifahari kule karibu na Kuwadzana mwanzoni wa miaka ya 1990.
 
Archbishop urges Zimbabwe protest

_42717779_ncube_ap203b.jpg


Archbishop Ncube said starvation stalked Zimbabwe

A prominent Roman Catholic archbishop in Zimbabwe has called for mass street protests to force President Robert Mugabe from power.
The Archbishop of Bulawayo, Pius Ncube, told a news conference in Harare that he was willing to stand in front of "blazing guns" if necessary. Scores of opposition activists have been arrested since police broke up a banned rally on 11 March in Harare.

There is increasing discontent over the country's deepening economic crisis. Archbishop Ncube said that if Zimbabweans took to the streets in their thousands to demand that President Mugabe step down, the security forces would be powerless to stop them.

"I am ready to stand in front," he said. "We must be ready to stand, even in front of blazing guns."

Stand up

The archbishop blamed years of economic and political turmoil in Zimbabwe on a land redistribution programme launched in 2000 that has turned white-owned commercial farms over to blacks. "Starvation stalks our land and government does nothing to correct our situation," he said.

"People are angry now and should stand up, fill the streets and demand that this man steps down now." The archbishop has been a long-standing critic of Mr Mugabe and his ruling Zanu-PF party. Two years ago he made a similar appeal in the run-up to elections. The news conference was organised by one of the groups behind the 11 March rally that was broken up by police. Opposition leader Morgan Tsvangirai and nearly 50 others were arrested and then allegedly beaten by police. The incident sparked international outcry.
Zimbabwe's leader has come under increasing international criticism for his handling of the economy and for stifling internal opposition.

An estimated 3m Zimbabweans, about a quarter of the population, have fled the country in recent years. In Zimbabwe, the governor of the central bank, Gideon Gono, has complained that increases of about 200% in the price of petrol had made life unbearable. The governor of the central bank, Gideon Gono, has said that the spirit of profiteering has become as deadly as HIV and Aids.
Story from BBC NEWS:
http://news.bbc.co.uk/go/pr/fr/-/2/hi/africa/6482723.stm
 
Mkira, I doubt Mugabe na supporters wake ikiwemo tz, namibia, SA, angola, DRC etc watakubali kuona Mugabe anaondoka through mass protest au njia yoyote yenye nature hiyo kwa sababu itapeleka message kwenye nchi zote hizi kwamba 'kama hatuitaki hii serikali yetu tunaweza kwenda kuprotest hadi waondoke' na sidhani kama wako tayari kuona hiyo message inatolewa. Ni kweli wengi wanaona Mugabe ni liability sasa hivi lakini watamanouver ili ang'atuke kwa heshima, lakini hatatoa sign yoyote ya kuback down, at least for now. Lakini best believe land reform itabaki (na mimi personally naisupport by any means necessary) na pia mapigo ya moyo ya Morgan Tsvangirai yatasimama (an ugly fact about politics).

jokaKuu, siku zote nimekuwa naamini tz tuliplay a big role kumuondoa mobutu. Hata hivyo kujibu baadhi ya hoja zako ni kwamba DRC statistics zinasema majority ya waliokufa kwenye ile vita walikufa kwa njaa na siyo mtutu wa bunduki, lakini kweli kunaweza kuwa kuna uhusiano kati ya vifo hivyo na vita yenyewe, lakini siyo kama, let's say rwanda. Kwenda kwa majeshi yote yale nadhani ilikuwa more symbolic kwamba finally congo wamepata kiongozi anayeonekana atajali maendeleo yao, toka lumumba, na kwamba hii operation imefanywa kwa msaada na nchi zote zilizokuwa msitari wa mbele kumuondoa mkoloni. Congo siku zitoe imekuwa inajulikana ni muhimu kutulia na kuwa na uongozi makini ili maendeleo na amani sehemu zingine za africa iweze kuja, lakini inaonyesha africa kwisha kwa vita moja ni kuanza kwa nyingine, ie. sudan/chad.

Sijawahi kusikia kwenye haya mapambano ya MDC issue ya DRC ikiwa raised kwamba ni moja ya sababu za kumpinga Mugabe, siyaisikia hiyo hadi nilipoiona kwenye hii discussion humu. Kama kweli wazimbabwe wengi wanapinga kitendo kile, nadhani hii ni alama nyingine kwamba watu wamepoteza sense of history na kujua what is best for africa.
 
Samahani kwa kwenda nje ya Discussion ila,
Kwa kifupi, Tanzania ilishiriki vita ya Congo ingawa ilikuwa ni tofauti na jinsi Rwanda na Uganda zilivyoshiriki ila walishiriki, na mpaka leo kuna baadhi ya wanajeshi, polisi kutoka Tanzania wanasaidia kutoa mafunzo kule.
 
Na hayo mapigano mapya ndani ya Kinshasa mmeyasikia? Sasa JP Bemba atakamatwa kwa kosa la uhaini!
 
Icadon,
I believe you are talking about tanzanian military advisors who had to be evacuated by south african airplanes from kitona once the DRC war started. this was in the news, and was later confirmed by late President Kabila when he was interviewed by Tido Mhando.

I didnt know that tanzania sent police force training team to DRC. what i am aware of is tanzania sending intelligence officers to advice and train their congolese counterparts.

there was a time when President Kabila had a bodyguard from tanzania. later on he was replaced by kadogos, who ended up killing Kabila. When Joseph Kabila became President he, Zimbabweans took over his security detail.

keynez,
ninavyoelewa ni kwamba tanzania tulikuwa approached kuhusu mpango wa kumuondoa mobutu kijeshi. inasemekana raisi mwinyi was reluctant in tanzania playing any big/visible role. tulichofanya ni kusaidia kupitisha silaha zilizokwenda kwa wapiganaji waliomuondoa mobutu.

now, coming back to the millions of Congolese who died, we can gloss it anyway we want, but it is a fact that Congo wouldnt have lost that many people without Rwanda and Uganda invading their country.

sasa ukirudi kwenye suala la Mugabe,Land question,democracy, rule of law, na Tsivangarai labda niseme machache:

a.Mugabe alikuwa amegoma kusaini makubaliano ya Lancaster akijua kwamba alikuwa awewashika pabaya walowezi wa Zimbabwe. Nyerere,Kaunda, na Samora, ndiyo walimlazimisha.

b.Suala la ardhi ndiyo lilikuwa mwiba, na again Nyerere,Kaunda,Samora wakamshauri Mugabe asichukue ardhi baada ya uhuru. Viongozi wa frontline states were taking lessons from economic meltdown that happened in Mozambique when Samora decided to nationalise all the factories and plantations owned by Portuguese exiles.

c.Kipengele kikawekwa kwenye makubaliano ya Lancaster kwamba kwa kipindi cha miaka 10 Mugabe achukue ardhi kwa mtindo wa "willing seller, willing buyer." Marekani na Uingereza waliahidi kutoa msaada to the tune of BILLIONS of dollars kusaidia land reforms if Mugabe was going to take a slow and cautious approach--"willing seller,willing buyer."

d.Mugabe alisubiri mpaka 1991 ndipo Bunge likapitisha sheria kuipa serikali mamlaka ya kuchukua ardhi pale inapohitaji. Uingereza ilitoa fedha kusaidia mpango huu lakini baadaye wakasitisha msaada kwasababu hawakuridhika na matumizi ya pesa.

e.Mwaka 1997 Mugabe aliitisha mkutano wa wadau wote kujadili jinsi ya kuharakisha land redistribution. Mkutano huo ulivunjika kutokana na mbinu na kiburi cha Waingereza.

...nikinafasika nitaeleza jinsi Tsivangirai alivyoibuka, na chanzo cha matatizo ya uchumi ya Zimbabwe.
 
I was in Harare recently. wale tunaotetea huu utawala wa Bob...we are not definetely doing this mindful of what is happenening in Zimbabwe kwa mwananchi wa kawaida! its just politics za chama na undugu!! Ni rahisi kutoa comment hapa na kuanalyse history which is good, but at the end of the day we have to match rhetorics with reality.

Zimbabwe is in ICU if I can say. I totaly agree with land reform za Bob, but I dont agree with the way he did it! Jokakuu umetoa mwanga hapa, lakini hujasema namna Mgabe ambavyo ametumia land reform to settle political scores and unleash incredible brutalities he wanted to his people. Ukiongea na wazimbabwe wachache ndo utajua Mgabe kafanya nini. We should stop blaming the west for the ills in Zim or Africa for that matter. Wote tunajua madhambi ya wakoloni na we dont need to repeat this, but we need to move forward good example ni Rwanda na France. MDC were taking the country in 2000! The only weapon Bob had was land reform (as usual in Africa we play with sentimental issues with our people). Personally I have a friend who was given land na Gov. ya Mugabe (because he was connected)..But after three years aliirudisha serikalini..kwa sababu his consciuos was not clear. The whole governemnt is very very corrupt...Nimezunguka Zimbabwe nimeona impact ya land reform, uliza ni akina nani walifaidika..Jokakuu kifupi Zim is a sad news! Iam not convinced that that was the way to reposses what was taken.

Huwezi justify all your problems on Blair or Bush..hawa ni mabepari..na mfumo wao ndo tumeukubali kwamba utatufikisha kwenye nchi ya ahadi ya maziwa na asali..its unfortunate but ndo ukweli. Africa tuamke, viongozi wetu wamezidi kuexploit unyonge wetu!!! ukiongea kidogo Mugabe atasema yeye ndo liberator!! C`mmon..that was not a favour..it was his duty as any other citizen!!...Mimi ninachokiona katika bara letu, hatuthamini watu wetu. Tunaamani kwamba wengi hawakusoma so we can always exploit this. In short Mugabe has failed his own people he went to the Bush to fight for. I believe at last viongozi wenzake wameanza kuliona hili! Yale yale ya Sudan na Darfur..whether its genocide or anything..The fact is people are dying! We need to act. Sijui Africa tutaacha hii kasumba lini ya kulaumu wengine kwa matatizo yetu. Mimi .I will say it again, Africa tatizo ni viongozi wetu ambao ni wabinafsi, incompetent, power hungry, corrupt, nepotistic,!! wanaangali how to remain in power at all cost not to help their people!!

Blair is confortable in London..so huyu jamaa can make all the noise..ila $$ ziko pale Jburg kwenye mabanks na Mugabe knows that, wanasubiri aondoke.. Nilikuwa harare... hivi unajua noti zao zina expiry date?, ukitoa kitu kwenye shelf-kama kipo kupeleka caunta..bei inabadilika kabla ya kulipia hiyo item? inflation ni more than 1500%. Ikiwa 10% bongo unafeel heat! Guys I can tell you. Zimbabwe is a country which was destroyed by its leader because he wanted to remain in power by all means! Imagine 27 years in power! Hapana Jokakuu..Niliyoyaona Zimbabwe......huwezi ni convince kwamba Mugabe persued right policies..za kuua watu wako??.....dont undermine people`s power.ilishatokea Ukraine--orange revolution..of all places in a communist country!! Jamani to me as Mwanawasa said..Mugabe akiondoka the earlier the better! Harafu mkumbuke hata Africa yenyewe inabadilika..raia tumeanza kuelewa, enzi za zidumu fikra za mwenyekiti taratibu zinaondoka!!....Justice and Liberty oyeeeeeeee!!!!!!!!!!!
 
jokaKuu
Tunakusubiri uendelee na tuisheni. Sisi wengine hapa ni wanafunzi tu.
 
Fact: Mugabe and ZANU PF are a group of bad dictators
Fact: Mugabe has ruined Zimbabwe
Fact: The land reform programmes have been used to hoodwink people that Mugabe is a hero in Africa and have also been used to hide Mugabe's and ZANU PF's draconian tendencies
Fact: Zimbabwe's problems have been caused by Mr. Mugabe's desire to clinge to power even when his people did not want him and his ZANU PF

Fact: At his age, Mugabe's cognitive prowness is less than that of a 10 year teenage boy; In fact by his age, he could now be wearing a nap, and I guess it must be from pampers products! As such it is unbelieavable that he is still the President of a country in this 21st century!.

Fact: Mugabe's leadership style is a metaphor of several african governments that are still being led by the then Liberation movements which later imposed themselves As life governing political parties with unquestionable powers.
This of course includes CCM!


Myth: Today's problems in Zimbabwe are caused by land reform programme

Myth: Tanzania's efforts to resolve Zimbabwe's leadership conflict are genuine. The fact is that CCM can never be genuine in solving problems of Zimbabwe's nature, simply because they have all along admired Mr. Mugabe's and ZANU PF's leadership style. This was repeatedly said by Mr. Mkapa whenever he talked about Zimbabwe.

Now that South Africa has decided to end its nasty quite diplomacy, we should expect to see ZImbabweans seeing light sooner than later.
 
Jasusi

Hakuna tuisheni hapa, bei inabadilika unapotoka kwenye shelf kuelekea counter, what a life? Watetezi waje watetee uozo. LAKINI MUGABE ANAONDOKA VERY SOON HANA TOFAUTI NA BABU YAKE KAMUZU BANDA.
 
Fact: Mugabe and ZANU PF are a group of bad dictators
Fact: Mugabe has ruined Zimbabwe
Fact: The land reform programmes have been used to hoodwink people that Mugabe is a hero in Africa and have also been used to hide Mugabe's and ZANU PF's draconian tendencies
Fact: Zimbabwe's problems have been caused by Mr. Mugabe's desire to clinge to power even when his people did not want him and his ZANU PF

Fact: At his age, Mugabe's cognitive prowness is less than that of a 10 year teenage boy; In fact by his age, he could now be wearing a nap, and I guess it must be from pampers products! As such it is unbelieavable that he is still the President of a country in this 21st century!.

Fact: Mugabe's leadership style is a metaphor of several african governments that are still being led by the then Liberation movements which later imposed themselves As life governing political parties with unquestionable powers.
This of course includes CCM!


Myth: Today's problems in Zimbabwe are caused by land reform programme

Myth: Tanzania's efforts to resolve Zimbabwe's leadership conflict are genuine. The fact is that CCM can never be genuine in solving problems of Zimbabwe's nature, simply because they have all along admired Mr. Mugabe's and ZANU PF's leadership style. This was repeatedly said by Mr. Mkapa whenever he talked about Zimbabwe.

Now that South Africa has decided to end its nasty quite diplomacy, we should expect to see ZImbabweans seeing light sooner than later.

MWANASIASA

Face the facts. Land reform, indigenisation of third world economies will never be in the interests of Britain or usa. That is just fact. All one needs to do is look at the treatment of third world leaders in places such as South America when they try to undertake policies which will ultimately benefit the people. It is not just an African problem. People state the negative aspects of a third world politician’s character or principles as if that was a good enough reason not to economically empower their people. As if they have disqualified themselves from the right to take the moral ideological high ground. Will ordinary black Zimbabweans benefit from land reform? That is the only issue worth discussing. Maybe I’m just being cynical but if the west really believed that land reform would be a disaster for Zimbabwe and black Zimbabweans then they pat Mugabe on the back, wait for a real 'crisis' and be ready to clean up (as they claim to always be doing in Africa even when they have significantly contributed to the mess in the first place).

A politician’s motive is only important up to a degree. If the result of a policy (100% good intentions or not) is a positive one for the people then that is the real test. If land reform is derailed by western imperatives before it has a chance to reach fruition then that will be the real tragedy. I still believe something I said earlier that African history written by Africans will judge Mugabe as a hero. Land reform as done in Zimbabwe at this time has implications for the whole of Africa whether western media choose to report it or not. It will be interesting to see how many other leaders are demonised once the domino effect takes hold.
 
hapa chini ni barua ya Clare Short kwa serikali ya Zimbabwe. This letter to a large extent poisoned the relation btn Zimbabwe and Britain on the land issue. Tafsiri ya barua hiyo ni serikali ya Uingereza kuyakana makubaliano ya Lancaster.

also in this letter you can see that the BRITISH Government was infact SATISFIED with how Mugabe had implemented land redistribution since Zimbabwe's independence. So the argument that all MUGABE did btn independence and 1997 was to give land to his FRIENDS is very questionable.

I should make it clear that we do not accept that Britain has a special responsibility to meet the costs of land purchase in Zimbabwe. We are a new Government from diverse backgrounds without links to former colonial interests. My own origins are Irish and as you know we were colonised not colonisers.

We do, however, recognise the very real issues you face over land reform. We believe that land reform could be an important component of a Zimbabwean programme designed to eliminate poverty. We would be prepared to support a programme of land reform that was part of a poverty eradication strategy but not on any other basis.

I am told Britain provided a package of assistance for resettlement in the period immediately following independence. This was, I gather, carefully planned and implemented, and met most of its targets.

barua nzima inapatikana hapa:
http://www.swans.com/library/art9/ankomah5.html
 
"So the argument that all MUGABE did btn independence and 1997 was to give land to his FRIENDS is very questionable".

by the way ni kuanzia 1997 mpaka leo hii....Exactly this is what happened! HAKUNA MTU WA CHINI anayefaidika na hii programme! Rarely a noble cause can be a chieved by evil means. All Mugabe proponent have tried so much kutuonyesha kwamba MDC ni puppet wa wazungu na Britain et al should be blamed for all in ZIM, do you want to tell me kwamba MDC wao wako pale kwa maslahi ya wazungu tuu? they dont think of their country? Thats a joke..yale yale ya Zanzibar.. eti kumpa kura Seif ni kurudisha usultani! kuwapa kura upinzani ni vita..amani itatoweka....Amani ya woga uliiona wapi inashamiri??!

Viongozi wetu waafrika wametuchezea akili vya kutosha...(siasa za kujengana hofu hazina nafasi katika ulimwengu wa leo, tunataka hoja....Period)..MDC ilipewa kura kibao na uchaguzi ilikomba viti kibao ikiwemo Harare yenyewe! ingawa watu walipigwa na kunyimwa kazi na sulubha nyinginezo..., je wananchi waliokichagua ni vibaraka wa kizungu? infact...

Kaka tuache utani...Mi siasa za Afrika zinachosha!! Kama umeishiwa ideas..waache wengine nao wajaribu (hakuna mwenye monopoly ya wisdom)...sio kuscare wananchi kwamba upinzani ni vita, ni kurudisha ukoloni..etcs....you havent achieved your goals in three decades! Quit...Tatizo letu siasa za competition hatujazizoea na tuko radhi kufanya chochote kuwasilence wenye maoni tofauti na ya kwetu....by all means! aLL MUGABE CAN DO is to honourably accept kwamba his time is up!! Everybody knows Zim is bigger than HIM! YOU WILL NEVER WIN THE WAR OF IDEAS BY GUNS AND OPPRESSION!!!!!!! So He can demonize all his critics by branding them all names, but at the end of the day watu wamechoka..........He should know...
 
_42722893_electionposter_ap_203b.jpg


Robert Mugabe's grip on power appears to be fading

Leaders 'plan end to Mugabe era. Mr Mugabe has long been ruthless in dealing with opponents


By Martin Plaut
BBC News
As Zimbabwe slides into chaos and repression, there are indications President Robert Mugabe could be eased out of power by his own old guard.
Leading members of the ruling Zanu-PF party and the opposition are reportedly mapping out an end to the Mugabe era.

Sources in the Movement for Democratic Change (MDC) say the former security and army chiefs have held talks with the MDC leader, Morgan Tsvangirai. Mr Tsvangirai was badly beaten in police custody earlier this month.

The MDC leader is said to have met the former security and army chiefs, Emmerson Mnangagwa and Solomon Mujuru. Their talks took place before Friday's meeting in Johannesburg between the vice-president of Zimbabwe Joyce Mujuru, who is Solomon Mujuru's wife, and her South African counterpart, Phumuzile Mlambo-Nguka.

The first indications that President Mugabe's iron grip on his party was slipping came at the Zanu-PF congress in December last year.
He asked the party to endorse his proposal to extend his presidency until 2010. The party, for the first time, turned him down.

Three major camps have emerged within Zanu-PF:

Emmerson Mnangagwa's faction - he is a key Mugabe ally and one of his closest confidantes. He was minister of state security from 1982 to 1988 and has important links to the security services Solomon Mujuru's faction - also known as Rex Nhongo, he is the former army chief, and leading member of Robert Mugabe's guerrilla forces during the independence war
Mugabe loyalists' faction Both Mr Mnangagwa and Mrs Mujuru have presidential ambitions.

Until very recently they were at daggers drawn, but the economic collapse has driven them to talk. Opposition sources report that they have met twice in the past 10 days, as well as holding meetings with Morgan Tsvangirai.
Together a plan has emerged. Essentially they are looking at the following:
An interim period, leading up to free and fair presidential elections in March 2008. Guarantees that there will be a level playing field for all parties. The opposition would, in return, call for economic support from the international community to stave off economic collapse

A dignified exit for Mr Mugabe, who would not be prosecuted and would be allowed to go into retirement, probably in South Africa after March 2008
This plan has been discussed with South Africa, which is immensely worried about the current state of affairs.

World Cup fears

There are already between two and three million Zimbabweans living in South Africa and another two million are thought to be considering fleeing from the economic chaos and hunger. With the price of bread doubling in just one day, this exodus is becoming a real possibility.

The South African deputy foreign minister, Aziz Pahad, has warned that it is difficult to see how a total meltdown in Zimbabwe could be avoided, with annual inflation at 1,700% and rising. South Africa is also worried about the possible implications of further chaos and crisis on its borders with the 2010 World Cup looming large.

President Thabo Mbeki made this point in no uncertain terms when he met President Mugabe in Accra earlier this month during the celebrations of 50 years of Ghana's independence. The plan is due to be put to a meeting of the Zanu-PF central committee due to be held next week. It could be the final showdown between the president and his opponents. But he is an immensely powerful orator, and has dealt ruthlessly with internal challenges in the past.

Critics silenced

Josiah Tongogara, commander of the guerrilla army Zanla, was with Robert Mugabe at the Lancaster House conference that led to Zimbabwe's independence and the end of white minority rule.

Many expected him to play a leading role in his country's future. But six days after the Lancaster House agreement was signed, Mr Mugabe announced "an extremely sad message" to "all the fighting people of Zimbabwe".
Mr Tongogara was dead, killed in a car accident in Mozambique. Few in his party accepted this version of events.

President Mugabe also cracked down hard on opposition in Matabeleland in the early 1980s. His notorious North Korean-trained Fifth Brigade killed around 20,000 Matabele in an effort to stamp out resistance.
But President Mugabe will be cautious about moving decisively against his critics today.
Almost all the senior figures in the security services have links to Solomon Mujuru or come from his home area - Chikomba. The next week could not just be critical for the future of Zimbabwe, but for southern Africa as a whole.

Story from BBC NEWS:
http://news.bbc.co.uk/go/pr/fr/-/2/hi/africa/6490805.stm
 
Dr WHO: How does the land redistribution programme justify the torture of people perpetrated by Mugabe Government? How do you justify the killing of people undertaken by Mugabe/ZANU PF armed forces? How do you justify the plundering of economy and other miseries Zimbaweans are experiencing?

In my view the problems happening in Zimbabwe have been caused by a clique of people in ZANU PF led by Mugabe. Haya ni matatizo aliyoyatengeneza Mugabe na ZANU PF kwa njaa zao za kungang'ania madaraka. Swala la ardhi alilikomalia baada ya upinzani kupata nguvu na yeye akalitumia kama silaha ya kubaki madarakani.

The fact will prevail and I am assure history will attest to this fact that: After, Mobutu, Mugabe and ZANU are the worst evils Africa and the world have witnessed!

What has been astonishing to me is the silence from AU and African governments. The young generation of African leadership should never tolerate what we have seen in Zimbabwe under any circumstances whatsoever! African leaders should not be allowed to hide their tyrany under the cover of a noble course such as land resditribution.

Mugabe would have carried out the land redistribution programme without torturing and killing people and without enchroaching on democracy and human rights. We should never allow Mugabe and ZANU PF to use land redistribution to justify their evil in Zimbabwe.
 
"How can what is happening in Zimbabwe (I could add and Darfur) elicit hardly a word of concern, let alone condemnation, from us leaders of Africa?"

Once again, these are powerful words from a powerful opinion maker highlighting the ineptness of the African Governments to deal with the Zimbabwean obvious humanitarian and democracy crisis on the pretext that it is a land/black-white issue!
 
ZIMBABWE IAMBIWE UKWELI
Na. M. M. Mwanakijiji

Kikao cha wakuu wa Jumuiya ya SADC kitafanyika nchini kikiwa na malengo ya kuzungumza mambo mbalimbali yanayohusu sehemu hii ya Afrika. Miongoni mwa mambo hayo ni hali ya kisiasa huko DRC na pia hali ya kisiasa huko Zimbabwe. Kuhusu suala la Zimbabwe nchi za Kiafrika zimeshindwa vibaya kusimamia maslahi ya watu wa Zimbabwe na hivyo kuacha serikali yao kuendelea kutenda kazi kana kwamba imesimikwa na Mungu. Hali ya kisiasa ya Zimbabwe inasikitisha na haikubaliki!

Ni kwa sababu hiyo basi kikao hiki cha viongozi wa SADC kina nafasi ya pekee ya kuonesha msimamo mmoja wa viongozi hao na hatimaye kuwa sauti ya wale "wasio na sauti" wa Zimbabwe. Kuendelea kufumbia macho kinachoendelea Zimbabwe ni kuhalalisha serikali ya kidikteta na kufumbia macho uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu.

Tanzania ina nafasi ya pekee katika kuona kuwa suala la Zimbabwe linatafutiwa suluhisho la kisiasa ambalo litaheshimu Katiba ya Zimbabwe na kulinda haki za raia wote bila kujali vyama vyao au itikadi zao. Viongozi watakaokutana kwenye mkutano huu ni lazima wakubali kuwa ile "diplomasia ya ukimya" ambaye imekuwa ikifuatwa hadi hivi sasa katika kulikabili tatizo la Zimbabwe imefeli, na haina nafasi katika kutafuta suluhisho la kudumu.

Wakati umefika kwa viongozi wetu kuweka mambo kadhaa wazi kabisa kwa serikali ya Rais Mugabe.

Kwanza, licha ya mchango mkubwa wa Rais Robert Mugabe katika kutafuta uhuru wa Zimbabwe, mchango wake huo siyo leseni ya utawala wa mabavu au wa kidikteta. Viongozi wa SADC waseme wazi kuwa linapokuja suala la haki za raia wote na ulinzi wa utu wa watu wetu hakuna mtu yeyote ambaye ana haki ya kuvunja, kuondoa, au kuzuia upatikani wa tunu hizo. Kama tulimkatalia Amin, Bokasa, Mengistu, na wengine wakati umefika Waafrika tutambue kuwa Bw. Mugabe kwa kuridhia vitendo vya ukiukwaji haki za binadamu, na matumizi ya nguvu katika kuendeleza utawala wake basi matendo yake mengi yanaanza kupakana na utawala wa kiimla, hivyo lazima abadili mwelekeo au atatengwa.

Pili, Wananchi wa Zimbabwe kama walivyowananchi wa sehemu nyingine yoyote ile wana haki ya kufurahia uhuru wao na haki zao kama raia bila kujali itikadi za vyama vyao au vitu vingine vinavyowatofautisha kama mtu mmoja mmoja. Katika Zimbabwe ya sasa kama wewe hauko kwenye chama tawala basi nafasi yako ya kufanikiwa ni kama sifuri! Viongozi wa SADC wanapokutana hapa Tanzania ni lazima waweke hilo wazi kuwa tofauti za kisiasa au kimtizamo siyo sababu hata chembe ya kuwagawa Wazimbabwe na kuwafanye wale walio kwenye chama tawala ndio wazalendo hasa na wale wanaopinga siyo wazalendo. Ni wazi kuwa Tanzania ni vigumu kwake kuja na msimamo kama huo kwani utaakisi mahusiano ya Chama tawala hapa nyumbani na wapinzani wao. Itakuwa ni sawa na mtu kujaribu kutoa kibanzi kwenye jicho la jirani yake wakati boriti bado liko kwenye jicho lake. Zimbabwe lazima ioneshwe upotovu wake huo na itakiwe ijirudi, siyo kwa ajili ya kuyaridhisha mataifa makubwa bali kwa ajili ya watu wake yenyewe na hatima ya nchi hiyo.

Tatu, Wapinzani wa serikali ya Zimbabwe ni lazima nao wapewe nafasi ya kusikilizwa na hoja zao kufanyiwa kazi. Kitendo cha mkuu wa kambi ya upinzani kupigwa na kunyanyaswa pamoja na watu wengine ni mwanzo mbaya na ni hatua mbaya ambayo viongozi wetu wanapokutana hawana budi kuilaani kwa maneno makali. Inapofikia kuwa tofauti za kisiasa zinaanza kusababisha watu wapigwe na kufungwa basi tujue ya kuwa Zimbabwe imeanza kuunusa mstari utenganishao utawala wa sheria na haki kutoka maisha ya vurugu na uchokozi. Ukweli ni kuwa kinavyoendelea kuungua Zimbabwe ndivyo nchi jirani na hususan eneo hili la Afrika linavyozidi kupoteza sifa zake na kubebeshwa mzigo wa matatizo yanayotokana na Zimbabwe. Endapo itatokea kuwa serikali ya Mugabe iendeshe operesheni ya kukamata wapinzani wake na kuwafunga, basi jumuiya hii itakuwa imepoteza umuhimu wake na kubakia kuwa kilabu ya kupigiana soga, na baraza kuchukuana picha.

Nne, wapinzani wa Bw. Robert Mugabe nao waambiwe wazi kuwa lolote watakalofanya kama ni kinyume na sheria za nchi ni wazi watasababisha kugongana na serikali. Hivyo ni lazima watiwe moyo watumie njia zinazokubalika kisiasa ili kufikia malengo ya kisiasa. Ingawa jambo hili kwa sasa ni kama haliwezekani basi jumuiya ya SADC ni lazima ichukue nafasi ya makusudi na ya wazi ya kutafuta suluhisho la kudumu, suluhisho ambalo litaheshimu uhuru wa Zimbabwe kujiamulia mambo yao, litatambua haki za raia wa Zimbabwe kuishi kwa uhuru bila hofu ya serikali yao, na kusimamia utaratibu wa ujenzi wa hatua za kisiasa ambazo zitarudisha umoja na heshima kati ya makundi mbalimbali ya kisiasa nchi humo. Katika hili Tanzania ina nafasi ya pekee.

Katika kutafuta suluhisho la swali la Zimbabwe, Tanzania inaweza kuonesha njia kwani sisi ni marafiki, na marafiki wakati mwingine inabidi tuwaambie rafiki zetu ukweli. Maneno makali yanapotoka kwa wakubwa kuzungumzia suala la Zimbabwe inaonekana wana ajenda ya siri na hilo sisi sote tunajua. Waingereza wanapozungumzia suala la Zimbabwe si kwa sababu wana uchungu na maisha ya watu weusi wa Zimbabwe bali wanauchungu ya ndugu zao Wazimbabwe weupe ambao wamenyang'anywa ardhi na wengi kulazimika kutimka. Lakini sisi Watanzania na watu wa bara hili la Afrika hatuwezi kukaa kimya wakati ndugu zetu wa Zimbabwe wanazidi kujichimbia shimo ambalo jinsi ya kutoka haionekani. Hapa Tanzania inaweza kufanya jambo ambalo litasaidia kuondoa mgogoro wa ndani wa Zimbabwe na ule wa Zimbabwe na mataifa ya magharibi.

Tanzania baada ya mkutano huu wa viongozi wa SADC ikubali jukumu la kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa hali ya kisiasa ya Zimbabwe kwa kuitisha mkutano usio na masharti wa wadau wa hali ya kisiasa wa Zimbabwe. Wakati umefika wa Tanzania kutoa mwaliko kwa serikali ya Zimbabwe, Vyama vya upinzani vya Zimbabwe na taasisi za Kiraia kuweka kukaa pamoja na kutafuta chanzo cha mgogoro na kutatufa utatuzi wa mgogoro wa Zimbabwe. Hatuwezi kuendeleea kukaa kimya hadi tuone ndugu zetu, wanaharakati za ukombozi wenzetu wakiendelea kudidimia katika hali mbaya ya kiuchumi huku maisha yao ya kisiasa yakiwa matatani. Ingawa hili Tanzania inaweza kufanya lakini kwa serikali ya Kikwete kuamua kujaribu kutafuta suluhisho la Zimbabwe inawezekana ikawa ni "kinyume nyume" kwani wakati tunahangaika kutafuta suluhisho la matatizo ya Zimbabwe ya kwetu bado yanatuzungusha kichwa. Hata hivyo, hilo lisiwe kizuizi cha kujaribu kutatua mgogoro wa Zimbabwe kwani kutatupa na sisi ari zaidi ya kushughulikia matatizo yetu kabla hajafikia mahali pa yale ya Zimbabwe. Kwa kuanzia hata hivyo, tuwasaidie Zimbabwe waondokane na hali ya wasiwasi ya sasa, mgongano wao wa ndani, uhasama na nchi za magharibi na uundaji wa mazingira mapya ya kisiasa ambapo kila Mzimbabwe atafurahia matunda ya uhuru wa nchi yake bila kujali rangi zao, itikadi zao, au mfungamano wowote wa kisiasa. Tukifanikiwa kufanya hivyo, basi wito wetu kama Watanzania tunaojigamba nao wakati wa kukimbiza mwenge kila mwaka utatimia, nao ni "kuleta matumaini mahali ambapo hakuna matumaini, upendo mahali ambapo pana chuki, na heshima ambapo pamejaa dharau". Hakuna mfano mzuri wa mahali kama hapo kuliko Zimbabwe ya sasa.
 
Leo nimekuja across na hii article nikaona niiweke hapa, kama ilishawekwa then samahanini !!

KUNA msemo usemao kuwa ukitaka kumfahamu mtu mwangalie marafiki zake. Wengine wanasema, ndege wenye manyoya yanayofanana huruka pamoja. Naam, wako wasemao Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba.

Siku ya Alhamisi tarehe 15 Machi 2007, Rais Jakaya Kikwete alifanya ziara ya siku moja nchini Zimbabwe. Taarifa zilizotolewa na Ikulu sambamba na vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa, vilithibitisha kuwa ziara hiyo ya rais ilikuwa ni kwa nafasi yake kama Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa nchi za Jumuia ya SADC. Pamoja na Tanzania, katika kamati hii, zipo nchi za Namibia na Lesotho.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa, azma kuu ya msingi ya ziara hii, ni sehemu ya jitihada za Rais Kikwete kumaliza mgogoro wa kisiasa nchini Zimbabwe, kati ya Rais Robert Mugabe na chama chake cha ZANU-PF kwa upande mmoja na vyama vya upinzani vikishirikiana na wadau mbalimbali wa harakati za haki za binadamu kwa upande wa pili. Baadhi ya vyombo vya habari vimemnukuu Rais Kikwete akisema kuwa, sehemu ya mazungumzo hayo, yalikuwa kumfahamisha Rais Mugabe jinsi suala la nchi hiyo lilivyojitokeza kwenye mazungumzo yake na viongozi wa nchi kadhaa za Ulaya, wakati wa ziara yake katika nchi mbalimbali za Jumuia ya Ulaya, hivi karibuni.

Habari zaidi ambazo hazikutolewa na ofisi ya rais kwa vyombo vya habari, zinaeleza kuwa, ziara ya rais Zimbabwe ilitanguliwa na ziara ya Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa nchini Tanzania, Rashid Othman.
Inasemakana, Othman alifanya mazungumzo na wakuu mbalimbali wa vitengo vya usalama nchini humo. Alizungumza vilevile na viongozi wa serikali. Jambo hasa walilojadili, bado halijawekwa bayana.

Kitendo cha mkurugenzi wetu wa usalama wa taifa kutembelea Zimbabwe na kufanya mazungumzo na maofisa wa idara nyeti kabla ya ziara ya rais, pamoja na mambo mengine, inathibitisha ukaribu wa kikazi baina ya Serikali ya Tanzania na utawala ulioua maelfu na bado unawatesa mamilioni ya Wazimbabwe. Mara baada ya mazungumzo ya marais hawa, yanayosemekana kuchukua saa tano, kila mmoja kwa upande wake alizungumza na vyombo vya habari.

Rais Kikwete hakutaka kutoa taarifa yoyote ya kina ila alisema: “Tumekubaliana mambo mengi namna ya kwenda mbele, tupeni muda. (We agreed on the way forward on a number of issues. Give us time!).” Ameomba apewe muda, lakini hakuwa tayari kubainisha wazi kuwa muda huo ni wa kufanya nini! Kama kawaida, rais wetu amezungumza, lakini hakuzungumza kitu. Kaelea juu juu bila kutanabaisha dira yake na msimamo wa Tanzania kuhusu hali ya kusikitisha ya Zimbabwe.

Wachambuzi wa mambo wanatafakari hali hii kama “a lot of style but no substance.” Kwa Kiswahili, tunaweza kusema; mbwembwe nyingi bila chochote cha maana. Ni vyema tukumbuke kuwa, mara baada ya kuchaguliwa, Rais Kikwete alitembelea Zimbabwe na kuutetea kwa nguvu zote utawala wa Mugabe.

Kabla ya Kikwete, Rais mstaafu Benjamin Mkapa, naye alimtetea Mugabe kwa nguvu zote. Wote walidai, “Waafrika waachiwe mambo yao wenyewe.” Huu ni unafiki mkubwa uliotolewa na watu ambao wenyewe kucha, kutwa wanatembeza bakuli nchi za Magharibi kuomba misaada ya kuwezesha serikali zao kuendelea kutawala. Kauli zao, sambamba na ukimya na unafiki wa viongozi wengine wa Afrika, zilimpa na zinaendelea kumpa Mugabe jeuri ya kuumiza na hata kuua wananchi wake. Damu za Wazimbabwe, zitawalilia watawala wetu kama hawatatubu!

Kwa upande wake, baada ya kikao na Rais Kikwete, Rais Mugabe alikaririwa na vyombo vya habari akisema kuwa, kinachoendelea Zimbabwe leo, si chochote zaidi ya fitina za kibeberu za nchi za Magharibi sambamba na vyombo vyake vya habari katika kutetea watu wanaovunja sheria, akimaanisha wapinzani wake. Akamalizia kwa kusema, hatishiki na kelele hizo na wanaolalamika “wanaweza kwenda kujinyonga (…can go hang!).”

Siku za karibuni nchini Zimbabwe, viongozi kadhaa wa vyama vya upinzani walisulubiwa na mwingine kuuawa na vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama nchini humo wakati wakijaribu kufanya mkutano wa hadhara wa kuiombea nchi yao kutokana na majanga kibao yanayoikabili. Mkutano huo wa sala ulijumuisha pia makundi kadhaa ya wanaharakati mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini. Mikutano ya hadhara imepigwa marufuku nchini Zimbabwe.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa, Rais Mugabe bado ameendelea kuzitaka nchi za Afrika kuungana kutetea bara lao dhidi ya ukoloni mamboleo na ubeberu wa nchi za Magharibi. Kauli za kizalendo kama hizi zimekuwa silaha ya muda mrefu ya Rais Mugabe, iliyomwezesha kutetewa na nchi kadhaa za dunia ya tatu. Tanzania imekuwa kinara wa muda mrefu sana na mtetezi wa utawala wa Mugabe.

Taarifa hizi kutoka vyanzo mbalimbali, vinanijengea msingi wa tafakuri yangu ya leo. Swali la kwanza kabisa linalonikereketa roho yangu, ni pamoja na kutaka kujua dira au “vision” inayoongoza uhusiano na urafiki wa Tanzania na Zimbabwe! Najiuliza, je ni urafiki na mahusiano ya wananchi wa nchi hizi mbili? Je, ni uhusiano na urafiki wa vyama vinavyotawala nchi hizi mbili vya CCM na ZANU-PF? Je, ni mwendelezo wa kurithishana wa kimahusiano na kirafiki baina ya viongozi wakuu wa nchi hizi tangu Baba wa Taifa, Mwinyi, Mkapa na hatimaye Kikwete kwa upande mmoja na Robert Mugabe pekee kwa upande wa pili?

Je, huu ndiyo utekelezaji wetu wa sera ya diplomasia ya kiuchumi? Je, balozi wetu Rajab Adadi, ambaye alikuwa namba mbili katika utawala wa polisi nchini kwenye utawala wa Mkapa na hivyo kuwa mstari wa mbele katika kulinda mikakati haramu ya kuhakikisha CCM inashinda kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka 2000 na 2005, kapelekwa Zimbabwe kujenga mahusiano ya kiuchumi au kuendeleza mkakati wa kumlinda Mugabe na utawala wake?

Je, Tanzania , ambayo damu ya watu wake ilimwagika katika kusaidia kuondoa utawala wa walowezi nchini Zimbabwe, imepata neema gani kwa uhusiano huu wa miaka 27 na utawala wa Rais Robert Mugabe? Hivi kweli Serikali ya CCM inaweza kuwaambia Watanzania jambo moja tu zaidi ya “hisia za uzalendo wa kiafrika” (sense of African nationalism) ambalo nchi yao imevuna chini ya utawala wa Mugabe?

Na kama tuliwapigania wananchi wa Zimbabwe, je, nao wamefaidika nini na utawala wa mtawala huyu pekee tangu uhuru wa nchi yao mwaka 1980? Je, utayari wa viongozi wetu kumlinda na kumtetea Mugabe umetuwezesha kupata maslahi gani ya kiuchumi na kijamii kiasi cha kuwa tayari kutetea utawala ambao umeua raia wake zaidi ya 10,000 katika kipindi cha miongo miwili na nusu iliyopita?

Ni wendawazimu gani au mchawi gani anawaongoza watawala wetu kiasi cha kutokuwa na mshipa wa aibu au huruma kwa wananchi wa Zimbabwe? Leo mfumko wa bei (inflation) umefikia kiwango cha asilimia 1,700 na sasa nchi hii haina tena fedha za kudumu! Kiwango hiki ni historia na rekodi ya dunia.

Ni “limbwata” gani ambalo watawala wetu wamelishwa hadi kufumbia macho ukweli kuwa sasa zaidi ya robo ya wananchi milioni 15 wa Zimbabwe wameikimbia nchi yao na kusambaa kote duniani kwa sababu mbalimbali zaidi zikiwa za kiusalama na hali ngumu ya maisha? Watanzania tuna uelewa mdogo sana kuhusu hali halisi katika nchi nyingine za Afrika. Miundombinu ya upashanaji habari katika bara la Afrika haijawa ajenda iliyojengewa mkakati wa makusudi katika maazimio kadhaa ya Umoja wa Afrika. Huu pekee ni ushuhuda kuwa Umoja wa Afrika una safari ndefu.

Kwa kiasi kikubwa, Afrika bado hutegemea taarifa nyingi kutoka vyombo vya habari vya nje ya bara letu. Ni dhahiri basi, vyombo hivi vitaripoti yale yanayogusa maslahi yao kwanza. Kila chombo cha habari cha kimataifa kina chimbuko lake ambapo hatimaye maslahi yake yatajikita. Lakini hili halifanyi kila linaloripotiwa na vyombo hivi kuwa yasiyotakia bara letu mema!

Kwa Watanzania walio wengi, Zimbabwe ni nchi rafiki. Vyama vinavyoongoza nchi hizi, ZANU-PF kwa upande wa Zimbabwe na CCM kwa upande wa Tanzania, ni marafiki wa muda mrefu. Aidha, Rais Mugabe anachukuliwa kama mtu makini na mzalendo wa kweli miongoni mwa jamii ya Watanzania. Walio wengi wanamfahamu Mugabe na ZANU-PF kwa historia ya harakati za ukombozi kusini mwa Afrika. Alikuwa rafiki wa Mwalimu, mpigania uhuru na mkomunisti. Tanzania imekuwa sehemu ya waangalizi wa uchaguzi wa SADC ambao walisimamia chaguzi za Zimbabwe mara kadhaa ikiwamo uchaguzi wa mwisho mwaka 2002. Katika kile kilichoshangaza dunia, waangalizi hawa walisema uchaguzi ulikuwa huru na haki.

Ukweli ni kuwa uchaguzi ulitawaliwa na kila aina ya vurugu, mauaji, kutekana nyara, kuibiana kura na kila aina ya uchafu, mambo yanayosemekana kufanywa wazi na vikosi kadhaa vya ulinzi vya serikali vikishirikiana na vikosi vya kiharamia vya umoja wa vijana wa ZANU-PF. Mugabe aliyeingia madarakani miaka 27 iliyopita si wa leo. Tanzania tumeendelea kumkumbatia bila kusoma alama za nyakati sambamba na matendo yake. Kidogo tulichoelezwa, ni kuwa ugomvi wake ni kutaka kuchukua (na kuchukua) ardhi kubwa iliyomilikiwa na Wazungu wachache na kuigawa kwa Waafrika walio wengi.

Kwa wale wanaopenda kusoma, ukipekua na kusoma vitabu na majarida mbalimbali yanayohusu historia na hali ilivyo sasa ya kisiasa, kiuchumi na hata kijamii katika bara hili, utagundua kuwa tuna tatizo kubwa kuliko wenyewe tunavyoliona. Vitabu na majarida mengi yameandikwa na waandishi wa nchi za Magharibi. Wengi wa waandishi hawa wamejaribu kuielimisha dunia kuhusu ufujaji na ulimbukeni wa kutisha wa viongozi kadhaa wa nchi za Kiafrika.

Kwa sababu ya hisia za Uafrika wetu, mengi ya maandishi haya yametuudhi. Tumewalaumu waandishi wake kuwa ni wazushi, wambeya, wakoloni nk. Hata pale mambo ya ukweli na uchafu wa viongozi wa nchi za Kiafrika yanapoandikwa na waandishi kutoka katika bara la Afrika, tafsiri rahisi na ya kipropaganda itakayotolewa ni kuwa, mwandishi ni kibaraka wa Wazungu.

Baada ya kuona hakuna faida yoyote ya kijamii na hata kiuchumi inayotokana na mahusiano haya, basi ni dhahiri kuwa lililobaki ni maslahi ya kisiasa. Yako mambo mengi yanayoshabihiana kati ya CCM na ZANU-PF. Moja, vyote ni vyama vilivyoshiriki kwa njia moja au nyingine kupigania uhuru katika nchi zetu. Ni vyama vilivyojenga mitandao ya awali kabisa kutokana na shauku ya wananchi kupata uhuru toka kwa Wakoloni.

Baada ya uhuru katika kila nchi, vyama hivi vyote vilijitahidi kuua upinzani na hivyo vyote kujenga mfumo wa chama kimoja cha siasa. Ni vyama vilivyojaribu kujenga mifumo ya kijamaa kwa upande wa Tanzania na kikomunisti upande wa Zimbabwe. Ni vyama vilivyoshindwa kuwaletea wananchi wao matunda halisi ya uhuru. Ni vyama vilivyopunguza uwezo wa wastani wa kuishi wa wananchi wao. Ni vyama vilivyoongeza umasikini wa wananchi wao.

Ni vyama ambavyo vimelazimishwa na mifumo ya dunia kukubali tena mfumo wa vyama vingi vya siasa. Ni vyama ambavyo serikali zao bila misaada haziendi popote. Ona hali ya Zimbabwe leo! Ni vyama ambavyo vimedhihirisha kwa vitendo kuwa, viko tayari kuua ili kubaki madarakani. ZANU-PF imeua sana nchini Zimbabwe hasa Jimbo la Matabele ambako ilionekana kuna nguvu kubwa ya upinzani kutoka chama cha mpigania uhuru mwingine wa Zimbabwe, Joshua Nkomo na chama chake cha ZAPU na sasa MDC. Wapinzani wamefanyiwa kila aina ya vitimbi ili kuwadhoofisha.

Kwa upande wa Tanzania, Serikali ya CCM inatumia mbinu zote chafu na safi maeneo yale yanayoonekana kuwa na upinzani wa nguvu. Kama hawakuuawa watu, basi vitimbi na mateso mengi vimewafika wapinzani. Mifano rahisi ni pamoja na Pemba, Zanzibar, Tarime, Kilimanjaro, Kigoma, Bukoba, Bariadi nk. Kuna kila dalili ya vyama vya CCM na ZANU-PF kuendelea kubadilishana uzoefu wa kuhujumu chaguzi na hata mikakati ya kudhibiti wapinzani. Tofauti kubwa kati yao ni nguvu ya upinzani na wanaharakati wengine katika nchi zao.

Kama ilivyokuwa dhahiri kwenye maeneo ambayo wapinzani wameonekana kuwa na nguvu kama vile Pemba, siku Tanzania Bara itakuwa na upinzani wa aina ya Pemba, tutegemee mauaji mengi ya kutisha. CCM ni “ruthless” kweli kweli inapokuwa na uhakika kuwa upinzani una nguvu ya kutosha katika eneo fulani. Hata hivyo, somo la Zimbabwe na liwafundishe CCM kuwa kuua, kuumiza, kudhalilisha na kutesa upinzani kamwe hakuwezi kuzima azma ya binadamu kutetea anachokiamini. Utamchelewesha, lakini hutamzuia hatimaye.

Viongozi wengi wa nchi za SADC nao wameonyesha udhaifu wa kutisha katika kukabiliana na udhalimu wa utawala wa Mugabe. Ni rais mmoja tu wa Afrika, Levy Mwanawasa wa Zambia aliyesema waziwazi kuwa hali ya Zimbabwe haikubaliki na utawala wa Mugabe umeizamisha Zimbabwe. Rais Thabo Mbeki wa Afrika Kusini naye ameshona mdomo.

Anasahau kuwa, kama si jumuia ya kimataifa kuushinikiza utawala wa makaburu huko nyuma, leo asingekuwa na fursa ya kuwa rais. Watawala wengi wa Afrika wameonyesha waziwazi kuwa udhalimu ukifanywa na weupe kwa weusi ni mbaya, lakini ukifanywa na weusi kwa weusi ni halali! Aibu gani hii!

Kisingizio ni kuwa nchi za Afrika zinatumia kile zinachokiita “Quite diplomacy”, yaani diplomasia isiyo na kelele, ya chini kwa chini, ya ndani kwa ndani. Unafiki mkubwa. Watu wanauawa nyie mnafanya diplomasia ya kimya kimya kwa kunywa mvinyo na kuonyeshana ufahari wa madege! Ni mkakati wa unafiki na ulioshindwa. Mazingira yote yanasababisha kuhofu kama kweli Rais Kikwete na serikali yake ni wasuluhishi wa kweli (honest brokers) wa mtafaruku wa Zimbabwe .

Aidha, Rais Kikwete asifumbie macho yanayofanywa na chama chake hapa nchini kwani kila dalili inaonyesha utekelezaji wa uharamia kama wa Zimbabwe. Uharamia huu umeanza kuonekana tangu uchaguzi wa mwaka 2005 na hata uchaguzi mdogo wa Tunduru hivi majuzi.

Kikwete na serikali yake, ni marafiki wa Mugabe na serikali yake, hivyo tunawajibika kuhoji dhamira ya rais wetu. CCM na ZANU-PF ni ndege wa unyoya mmoja, nao basi wako njia moja na wanaruka pamoja. Ni kwa maana hii basi, namtaka Rais Kikwete asimame na awe tayari kuhesabiwa kwa kumwambia ukweli Mugabe kuwa, Watanzania hawakumwaga damu zao ili naye amwage za Wazimbabwe.

Tutafakari usanii uliojengeka ndani ya sera yetu ya mambo ya nje iliyoasisiwa na Kikwete akiwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inayoitwa “diplomasia ya kiuchumi”.

Tuonane wiki ijayo

source: http://www.freemedia.co.tz/daima/2007/3/28/makala2.php
 
Kitendo cha mkurugenzi wetu wa usalama wa taifa kutembelea Zimbabwe na kufanya mazungumzo na maofisa wa idara nyeti kabla ya ziara ya rais, pamoja na mambo mengine, inathibitisha ukaribu wa kikazi baina ya Serikali ya Tanzania na utawala ulioua maelfu na bado unawatesa mamilioni ya Wazimbabwe. Mara baada ya mazungumzo ya marais hawa, yanayosemekana kuchukua saa tano, kila mmoja kwa upande wake alizungumza na vyombo vya habari

Mbowe na foreign policy wapi kwa wapi? Juma Haji Duni will triumph any given Sunday.

Now, about Mbowe's quote above:

First, moja ya kazi ya intelligence service ni ku-support diplomacy - everywhere! Clinton alimtuma George Tenet, tena wazi wazi, mara nyingi Middle East kuongea na Security chiefs wa Israel na Palestine wakati wa iniative yake iliyoenda mpaka dakika za mwisho za Urais wake. And, guess what? Nowhere has the Israelis and Palestinians came closest to a deal kama wakati ule.

Second, Mbowe needs a lesson sio tu kwenye diplomacy, hata kwenye logical reasoning. It is the stupidiest reasoning kusema kwamba kwa kuwa Othman kaongea na Security chiefs in Zimbabwe basi kuna ukaribu wa kikazi kati ya services hizi mbili. KGB talked to CIA hata wakati wa vita baridi. Hata kwenye diplomacy ya kawaida, kuongea na mtu hakumaanishi una mahusiano naye ya karibu kikazi. We see this everyday. Unless umeanza ku-pay attention na masuala ya kimataifa ukubwani kama Mbowe.

Tatu, what is wrong with security services za Tanzania na Zimbabwe kuwa na uhusiano wa kikazi? Would the opposite been preferrable to Mr. Mbowe? In fact, if it was for me, ningeimarisha mahusiano na services za nchi ambazo hatuna uhusiano mzuri kisiasa instead of the opposite.

Nne, you influence people and retain leverage by talking to them sio kutoa matamko ya ku-condemn (unless ni mtu wa ma-PR kama Mbowe). Running a diplomatic shop ni tofauti na kazi ya Helen Kijo-Bisimba.

Another quote by Mbowe:

Swali la kwanza kabisa linalonikereketa roho yangu, ni pamoja na kutaka kujua dira au "vision" inayoongoza uhusiano na urafiki wa Tanzania na Zimbabwe! Najiuliza, je ni urafiki na mahusiano ya wananchi wa nchi hizi mbili? Je, ni uhusiano na urafiki wa vyama vinavyotawala nchi hizi mbili vya CCM na ZANU-PF? Je, ni mwendelezo wa kurithishana wa kimahusiano na kirafiki baina ya viongozi wakuu wa nchi hizi tangu Baba wa Taifa, Mwinyi, Mkapa na hatimaye Kikwete kwa upande mmoja na Robert Mugabe pekee kwa upande wa pili?

First, ni aibu kwamba Mr. Mbowe anataka kuwa Rais wetu lakini haelewi historia ya nchi yake. Mr. Mbowe, go back to Lancaster House negotiations. Ask Mzee Warioba and Charles Kileo who were there. And ask Ben Mkapa who was Foreign Minister about the pressure we put on Mugabe to accept unsustainable deal that is haunting everybody mpaka sasa. It is ridiculuos ku-reduce this historical obligation (read blunder) to relations between leaders. Hivi Mwinyi na Mugabe walikuwa na mahusiano gani?

Second, Mr. Mbowe, ukielewa jinsi multilateral obligations zinavyofanya kazi (SADC kwa suala hili), you would not bother writing crap like this.

Third, kwenye diplomacy there are things that are said for public consumption, and there are concessions zinazotangazwa at the right time. For Mbowe to base his tafakuri and some serious conclusions on a newspaper article, shows that he is such a minnow in the business of foreign policy.

Mimi nadhani kukosekana kwa intellectual scrutiny Bongo works both for government and opposition. Crap like this will never make my paper.

Now, is Mugabe an asshole? Sure. Do we continue talking sense to him despite of that? The alternative is that we don't talk to him. Is he going to listen to us? You can be sure he won't if we dont talk to him. The bottom line is that we are not raising a kid here where we apply playground rules. What is at stake is the stability of Zimbabwe, and therefore a region. I would rather massage Mugabe's ego to get to the bottom line. Today, Mr Mbowe, madongo yote utakayorusha kwa Kikwete au CCM, hayatamnyima usingizi Kikwete wala wana-CCM kwasababu they don't expect you to say anything else. And, vice versa. Sasa sisi, as a country, in relation to Zimbabwe, tukifikia mahali ambapo Mugabe hakosi usingizi kwa lolote tutakalosema, kama ilivyo kwa Waingereza, then our diplomacy has failed. On this one, I am on the government's/SADC side.
 
Back
Top Bottom