Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
tatizo ni kuwa mugabe anachukiwa na vibaraka wa wakoloni...kwa hiyo wanajitahidi kuonyesha hata picha za watu wenye magonjwa ya ngozi kisha wanamsingizia shujaa bob.
mi kwa hilo haliniingii akilini na ninaungana na wewe.
Dispossessed: Zimbabwean farm workers sit outside the house
they say was burned by police as part of an intimidation
campaign against opponents of Robert Mugabe