nelly nely
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 665
- 229
- Thread starter
- #21
maana ya maneno unapatia ila unachokosea ni nyakati tu ndio unachanganya. Jaribu kwa mara ya mwisho ukishindwa nitakuambia.
dah!nimechemka mkubwa....funguka tu ka vipi...
maana ya maneno unapatia ila unachokosea ni nyakati tu ndio unachanganya. Jaribu kwa mara ya mwisho ukishindwa nitakuambia.
dah!nimechemka mkubwa....funguka tu ka vipi...
chofa chogenda=tunakufa tunatembea. Ulikuwa unakosea kidogo sana kutofautisha nyakati tu.
kweli mkuu,sasa hakuna zawadi ya mshindi wa pili?
nelly nely, ni mtazamo wako tu kama unavyosema lakini sidhani kama ulitumia vigezo vya kuridhisha. Mimi nakumbuka nilichangia thread No.1 ya Smile, No 2, 5, na 7. Labda uondoe hizi kwenye orodha yako ya thread zilizochuniwa! Wala hazikuwa na lugha ya kusumbua au mbaya.......... sijui unamaanisha nini unaposema hapo juu:'Nahisi tatizo kubwa ni lugha iliyotumiwa'
Anachosema mtoa mada ni kwamba hazikuchangiwa SANA, sio kwamba hazikuchangiwa kabisa, ingawa ukiangalia tendency ya watu waliozipitia ni kubwa,...ndio kuna sehemu hapa unaweza kuona thread imesomwa na watu wangapi.
heeeehKwani hii imefaulu?