Zijue sababu zitakazoifanya chadema ishindwe arumeru

Mujumba

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
853
306
Ni ukweli usiopingika kuwa chadeam ni chama kikubwa kwasasa lakini hicho sio kigezo cha kukifanya kijione kiko sawa na ccm na kuweza kupambana na ccm ambacho kina mtaji wa mamilioni ya watanzania mjini na vijijini! lakini tukiwa tumebakiza siku chache kabla ya uchaguzi mdogo wa ARUMERU, zifuatazo ni sababu chache za msingi zitakazo iangusha chadema na kuicha ccm ikiibuka kidedea

1. UDHAIFU WA NASSARI
Ni ukweli ulio wazi Nassari ni mgombea ambae kiwango chake kipo chini sana katika kujenga hoja na kuzitetea,marafiki zake wa karibu wamepruv hilo, pia hana mvuto wa kisiasa kama mshindani wake wa karibu SIOI! Pia Nassari amekuwa akibebwa zaidi na umaharufu wa viongozi wake wa juu wa chama i.e MBOWE na SLAA ambao wamepiga kambi mjini ARUMERU ili kumpigia kijana wao kampeni, ili la kubebwa na kina Slaa, hata RAIA mwema wamelipruv, nanukuu"Mgombea wa CHADEMA, Joshua Nassari, licha ya uwezo wake binafsi wa kujieleza lakini kwa sehemu kubwa uzito wake jukwaani unahusisha umaarufu wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa, ambaye bado hajapoteza mvuto wa kisiasa kwa wakazi wa Arumeru'

2.WAPIGA KURA VIJANA
ni jambo lililo wazi kwamba chadema inategemea sana vijana zaidi katika kampeni zake na ndio mtaji mkubwa sana wa chama hicho, sasa vijana wengi waliojiandikisha pale arumeru wengi wako shuleni kwasasa, wengine vyuoni hivyo uwezekano wa kukosa kura ni mkubwa
pia ukiangalia mahudhurio na aina ya ushabiki wa kampeni za CHADEMA, ni dhahiri kuwa wapiga kura wengi wa chama hicho ni vijana.

Ni katika mtazamo huo ambamo changamoto inayojitokeza ni kuwa vijana wengi wenyeji wa Arumeru Mashariki hawakujiandikisha kupiga kura katika kata za jimbo hilo.

Wengi wamejiandikisha katika maeneo wanakoendesha shughuli zao za kujikimu kimaisha, ambazo ni Mererani, kwenye mgodi wa Tanzanite, eneo lililopo Jimbo la Simanjiro, linaloongozwa na Christopher ole Sendeka. Mbali na Mererani, vijana wengi wa jimbo hilo wamejiandikisha kupiga Arusha Mjini, wanakoendesha shughuli zao za kila siku hii kwa kiasi kikubwa itamwangusha bwana NASSARI, sababu ccm imejiwekeza katika kada mbalimbali za watu kuanzia watoto,vijana na wazee ambao kikukweli ndio hazina kubwa ya ccm

3.NGUVU KUBWA YA CCM ARUMERU
siamini ni kwa jinsi gani chadema inaweza shinda katika jimbo ambalo viongozi wote kuanzia ngazi ya kijiji hadi wilaya ni ccm, hapa ni kujidanganya! lazima chadema wakubali kuwa pale ARUMERU sio pao,kwa mtaji huu ccm inaweza kucheza both macro and micro politics ilhali kujihakikishia ushindi mkubwa
4.PROPAGANDA ZA WAZI ZA CHADEMA
Chadema katika kampeni zake nyingi imekuwa ikimwaga propaganda nyingi sana kuhusu ccm, wananchi wa arumeru wamekuwa na ccm kwa muda mrefu kwahiyo wanajua fika yanayosemwa sio sahii! ingawa hata ccm imekuwa ikitoa propaganda kali na wengie wamesikika wakitoa matusi makali kwa viongozi wa chadema ila kuna msemo wa kiswahili unaosema "zimwi likujualo....."
kwa uchache hayo ni mambo yatakayoiangusha chadema tarehe 1 april 2012
 
Ni ukweli usiopingika kuwa chadeam ni chama kikubwa kwasasa lakini hicho sio kigezo cha kukifanya kijione kiko sawa na ccm na kuweza kupambana na ccm ambacho kina mtaji wa mamilioni ya watanzania mjini na vijijini! lakini tukiwa tumebakiza siku chache kabla ya uchaguzi mdogo wa ARUMERU, zifuatazo ni sababu chache za msingi zitakazo iangusha chadema na kuicha ccm ikiibuka kidedea

1. UDHAIFU WA NASSARI
Ni ukweli ulio wazi Nassari ni mgombea ambae kiwango chake kipo chini sana katika kujenga hoja na kuzitetea,marafiki zake wa karibu wamepruv hilo, pia hana mvuto wa kisiasa kama mshindani wake wa karibu SIOI! Pia Nassari amekuwa akibebwa zaidi na umaharufu wa viongozi wake wa juu wa chama i.e MBOWE na SLAA ambao wamepiga kambi mjini ARUMERU ili kumpigia kijana wao kampeni, ili la kubebwa na kina Slaa, hata RAIA mwema wamelipruv, nanukuu"Mgombea wa CHADEMA, Joshua Nassari, licha ya uwezo wake binafsi wa kujieleza lakini kwa sehemu kubwa uzito wake jukwaani unahusisha umaarufu wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa, ambaye bado hajapoteza mvuto wa kisiasa kwa wakazi wa Arumeru'

2.WAPIGA KURA VIJANA
ni jambo lililo wazi kwamba chadema inategemea sana vijana zaidi katika kampeni zake na ndio mtaji mkubwa sana wa chama hicho, sasa vijana wengi waliojiandikisha pale arumeru wengi wako shuleni kwasasa, wengine vyuoni hivyo uwezekano wa kukosa kura ni mkubwa
pia ukiangalia mahudhurio na aina ya ushabiki wa kampeni za CHADEMA, ni dhahiri kuwa wapiga kura wengi wa chama hicho ni vijana.

Ni katika mtazamo huo ambamo changamoto inayojitokeza ni kuwa vijana wengi wenyeji wa Arumeru Mashariki hawakujiandikisha kupiga kura katika kata za jimbo hilo.

Wengi wamejiandikisha katika maeneo wanakoendesha shughuli zao za kujikimu kimaisha, ambazo ni Mererani, kwenye mgodi wa Tanzanite, eneo lililopo Jimbo la Simanjiro, linaloongozwa na Christopher ole Sendeka. Mbali na Mererani, vijana wengi wa jimbo hilo wamejiandikisha kupiga Arusha Mjini, wanakoendesha shughuli zao za kila siku hii kwa kiasi kikubwa itamwangusha bwana NASSARI, sababu ccm imejiwekeza katika kada mbalimbali za watu kuanzia watoto,vijana na wazee ambao kikukweli ndio hazina kubwa ya ccm

3.NGUVU KUBWA YA CCM ARUMERU
siamini ni kwa jinsi gani chadema inaweza shinda katika jimbo ambalo viongozi wote kuanzia ngazi ya kijiji hadi wilaya ni ccm, hapa ni kujidanganya! lazima chadema wakubali kuwa pale ARUMERU sio pao,kwa mtaji huu ccm inaweza kucheza both macro and micro politics ilhali kujihakikishia ushindi mkubwa
4.PROPAGANDA ZA WAZI ZA CHADEMA
Chadema katika kampeni zake nyingi imekuwa ikimwaga propaganda nyingi sana kuhusu ccm, wananchi wa arumeru wamekuwa na ccm kwa muda mrefu kwahiyo wanajua fika yanayosemwa sio sahii! ingawa hata ccm imekuwa ikitoa propaganda kali na wengie wamesikika wakitoa matusi makali kwa viongozi wa chadema ila kuna msemo wa kiswahili unaosema "zimwi likujualo....."
kwa uchache hayo ni mambo yatakayoiangusha chadema tarehe 1 april 2012

Rabbish
 
Mchawi siyo lazima avae tunguli,Kwa umaarufu gani alionao Sioi kumzidi Joshua,
Jumatatu uje tena ujinga kama huu,maana utakuwa umeshapata jibu yupi ni maarufu
na ukweli ni upi.
 
hakika cdm ni chama chenye mvuto na kinachotishia matumbo ya watu.nadhani mtasema yote mlonayo mioyoni maana msiposema mtakufa kihoro.ccm mmekaliwa kooni pumzi imewakata network hakuna vichwani mnahangaika kwa kila namna,mbio za sakafuni huishia,,.ukingoni.nawaombea kheri!
 
Kama ndo hivyo, tusubiri tarehe 01/04/2012.

Wasiwasi wangu,

Propaganda za siku ya wajinga duniani na magazeti yanayonunulika na ccm tarehe 01 Aprili 2012
 
Kipindi Slaa anatwa jimbo la Karatu alikuwa na kiongozi yeyote chini yake ambaye ni wa CHADEMA? Kutokuwa na viongozi wa chama chako chini yako haimaanishi kushindwa kuchaguliwa.
Ni ukweli usiopingika kuwa chadeam ni chama kikubwa kwasasa lakini hicho sio kigezo cha kukifanya kijione kiko sawa na ccm na kuweza kupambana na ccm ambacho kina mtaji wa mamilioni ya watanzania mjini na vijijini! lakini tukiwa tumebakiza siku chache kabla ya uchaguzi mdogo wa ARUMERU, zifuatazo ni sababu chache za msingi zitakazo iangusha chadema na kuicha ccm ikiibuka kidedea

1. UDHAIFU WA NASSARI
Ni ukweli ulio wazi Nassari ni mgombea ambae kiwango chake kipo chini sana katika kujenga hoja na kuzitetea,marafiki zake wa karibu wamepruv hilo, pia hana mvuto wa kisiasa kama mshindani wake wa karibu SIOI! Pia Nassari amekuwa akibebwa zaidi na umaharufu wa viongozi wake wa juu wa chama i.e MBOWE na SLAA ambao wamepiga kambi mjini ARUMERU ili kumpigia kijana wao kampeni, ili la kubebwa na kina Slaa, hata RAIA mwema wamelipruv, nanukuu"Mgombea wa CHADEMA, Joshua Nassari, licha ya uwezo wake binafsi wa kujieleza lakini kwa sehemu kubwa uzito wake jukwaani unahusisha umaarufu wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa, ambaye bado hajapoteza mvuto wa kisiasa kwa wakazi wa Arumeru'

2.WAPIGA KURA VIJANA
ni jambo lililo wazi kwamba chadema inategemea sana vijana zaidi katika kampeni zake na ndio mtaji mkubwa sana wa chama hicho, sasa vijana wengi waliojiandikisha pale arumeru wengi wako shuleni kwasasa, wengine vyuoni hivyo uwezekano wa kukosa kura ni mkubwa
pia ukiangalia mahudhurio na aina ya ushabiki wa kampeni za CHADEMA, ni dhahiri kuwa wapiga kura wengi wa chama hicho ni vijana.

Ni katika mtazamo huo ambamo changamoto inayojitokeza ni kuwa vijana wengi wenyeji wa Arumeru Mashariki hawakujiandikisha kupiga kura katika kata za jimbo hilo.

Wengi wamejiandikisha katika maeneo wanakoendesha shughuli zao za kujikimu kimaisha, ambazo ni Mererani, kwenye mgodi wa Tanzanite, eneo lililopo Jimbo la Simanjiro, linaloongozwa na Christopher ole Sendeka. Mbali na Mererani, vijana wengi wa jimbo hilo wamejiandikisha kupiga Arusha Mjini, wanakoendesha shughuli zao za kila siku hii kwa kiasi kikubwa itamwangusha bwana NASSARI, sababu ccm imejiwekeza katika kada mbalimbali za watu kuanzia watoto,vijana na wazee ambao kikukweli ndio hazina kubwa ya ccm

3.NGUVU KUBWA YA CCM ARUMERU
siamini ni kwa jinsi gani chadema inaweza shinda katika jimbo ambalo viongozi wote kuanzia ngazi ya kijiji hadi wilaya ni ccm, hapa ni kujidanganya! lazima chadema wakubali kuwa pale ARUMERU sio pao,kwa mtaji huu ccm inaweza kucheza both macro and micro politics ilhali kujihakikishia ushindi mkubwa
4.PROPAGANDA ZA WAZI ZA CHADEMA
Chadema katika kampeni zake nyingi imekuwa ikimwaga propaganda nyingi sana kuhusu ccm, wananchi wa arumeru wamekuwa na ccm kwa muda mrefu kwahiyo wanajua fika yanayosemwa sio sahii! ingawa hata ccm imekuwa ikitoa propaganda kali na wengie wamesikika wakitoa matusi makali kwa viongozi wa chadema ila kuna msemo wa kiswahili unaosema "zimwi likujualo....."
kwa uchache hayo ni mambo yatakayoiangusha chadema tarehe 1 april 2012
 
Sijafika kwenye kampeni na wala arumeru sipafahamu lakini kwa maelezo yako hakuna la maana zaidi ya unafiki kwa ccm, jiulize huko ambako cdm huwa inashinda hakuna wazee ambao ni mtaji wa ccm? Kumbuka 2010 vijana walikuwa majumbani lakini Mnyika na Mdee walishinda
 
Ni ngumu sana kutoa tathmimi ya kinachojiri arumeru kwa kufuata kile kinachoandikwa magazetini..Niko ARUMERU NNAELEWA kinacho endelea tusubiri tar 1..
 
anaitwa SIOI SUMMARI just to remind you my bro! that name itself is popular....
ooops, my country Tanzania!!!!!

Huo umaarufu sasa ni kwa vile baba yake alikuwa naibu waziri au!??? Na huyo waziri alifanya nini kikubwa (mfano Magofuri amejenga barabara, Mwakyemba anapinga ufisadi! nk)? Inasikitisha sana kupandikiza propaganda za namna hii maana uchaguzi unapita lakini Tanzania inaendelea kuwa masikini

 
Well analyzed, lakini hii haiwezi ika-apply kwa watu waelewa na waliochagua mabadiriko, CCM ina mtaji mkubwa wa wanachama watu wazima lakini sidhani kama kuna mtu mzima mwenye akili timamu anayeweza kujitokeza ku-surpot sera za akina Lusinde, sidhani kama kuna mtu mzima asiyefaham CCM imemtoa wapi na imemfikisha wapi. hivi unajua CCM imetufikisha mahala Watanzania wana hamu ya kubadiri utawala hata wammpatie mtu asiye fahamika utendaji wake maana kuna uwezekano wa kuwatendea mema kuliko CCM iliyopo madarakani kwa miongo zaidi ya mitano na utendaji wake upo bayana. Japo naamini bado Tz ina watu wenye uwezo wa chini sana kwenye kutafakari waliompigia kura Kikwete kwasababu ni mweupe vivyo hivyo nahisi watampigia Sioi ili kumfuta machozi kwasababu kafiwa na baba yake mzazi lakini kundi la watu wa aina hii linazidi kupungua kwa kasi zishukuliwe shule za kata kwa kila kata kwani zinasaidia kutoa tongotongo
 
Back
Top Bottom