Vijue vyeo, Majina na Alama za Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)

Sijaelewa vizuri kutokana na ulivyoandika ila naamini kwa kuwa yapo hayo.
Rudia tena, halafu hapo mwisho ulipotaja visoda umenichekesha sana.

Yaani ilikuwa hivi.

Ilikuwa asubuhi saa mbili, mimi napita hapo getini kwenda shule.kama unavyojua geti lolote kuingia kambini ni smart area, hivyo kama una baiskeri unashuka unatembea hatua kama hasini hivi baada ya kuvuka kizingiti unapanda unaendekea na safari.ndipo hapo nikiwa natembea nikapata wasaha mzuri wa kushuhudia hicho kisa.

Jamaa kaingia, getini kajieleza ila watu wakajifanya hawavijui visoda.akawashukia kwenye gari.mbona walimtambua.
 
Askari hufahamiana vyeo vyao "seniority" kwa kuangalia vyeo vyao mabegani au ubavu wa mkono wa kushoto. Askari wa majeshi yote iwe ni TPS (Tanzania Prisons Services), TPF (Tanzania Police Force) au TPDF (Tanzania People's Defence Force) hupigiana salute kwa kuangalia nani ana cheo kikubwa na si nani anatoka jeshi gani.

Mfano; Wanapokutana Sajenti wa Magereza na Koplo wa Polisi, ni wajibu wa Koplo wa Polisi kumpigia salute Sajenti wa Magereza. Wanapokutana Kepteni wa Jeshi na ASP wa Polisi/Magereza ni wajibu wa Kepteni wa JWTZ kupiga salute kwa maafande hao wa Majeshi mengine waliomzidi vyeo.

Na ikumbukwe, vyeo vya majeshi ni internationalwise. Kepteni wa US Army atampigia salute Brigedia wa nchi ndogo na masikini Mauritania.

Ila utofauti unakuja katika vyeo vya IGP, CGP na CDF..IGP na CGP vyeo vyao ni sawa na Meja Jenerali. Kwa hiyo CDF ni mkubwa kwa IGP na CGP kwa kuwa CDF ni Jenerali
Inapendeza sana pale mtu anapoomba msaada halafu anajitokeza mtu kufafanua.
Ubarikiwe kwa ufafanuzi wako, naamini muulizaji ataridhika. Nami nakupongeza kwa ufafanuzi. Ndo raha ya "THE HOME OF GREAT THINKERS WHERE WE DARE TO TALK OPENLY"
 
Yaani ilikuwa hivi.

Ilikuwa asubuhi saa mbili, mimi napita hapo getini kwenda shule.kama unavyojua geti lolote kuingia kambini ni smart area, hivyo kama una baiskeri unashuka unatembea hatua kama hasini hivi baada ya kuvuka kizingiti unapanda unaendekea na safari.ndipo hapo nikiwa natembea nikapata wasaha mzuri wa kushuhudia hicho kisa.

Jamaa kaingia, getini kajieleza ila watu wakajifanya hawavijui visoda.akawashukia kwenye gari.mbona walimtambua.

Kambi gani hiyo mkuu na ilikuwa mwaka gani?
 
Kwanza askari polisi sio commissioned oficer wote huteuliwa ila wanajeshi wanasotea au kusomea kile wanachopatiwa,mpaka cheo cha cheo cha meja ambapo unakwenda staff college baada ya hapo unakuwa lute neut kanal ambapo senior staff au waswahili tunasema red cappet. hivyo hata maamuzi ya polisi wa nyota na mjeda kuna tofauti sana hivyo vyeo vyao sio sawa nyota ya jeshi ni sawa na superintendant wa polisi
 
Kwanza askari polisi sio commissioned oficer wote huteuliwa ila wanajeshi wanasotea au kusomea kile wanachopatiwa,mpaka cheo cha cheo cha meja ambapo unakwenda staff college baada ya hapo unakuwa lute neut kanal ambapo senior staff au waswahili tunasema red cappet. hivyo hata maamuzi ya polisi wa nyota na mjeda kuna tofauti sana hivyo vyeo vyao sio sawa nyota ya jeshi ni sawa na superintendant wa polisi


Super hawezi kuwa sawa na ka afisa ka nyota moja ka jeshini hata siku moja wewe acha kujitia ujinga.

Commission isikutishe.

Mbona polisi wote ni ma afisa.toka const-commis.
Kwa kuambiwa hivyo utamlinganisha constebo na luten usu maana huyo kwenu si ndio afisa?
 
Kuna kitu kinaitwa kamisheni kwa maafisa wa jwtz ambayo hutolewa na raisi peke yake ni kiapo huapwa mbele ya rais tu kwa mujibu wa katika. Hawa maafisa kuanzia nyota moja wanaitwa Commissioned officers ambao kwa upande wa jeshi la polisi ni ma RPC tu! Maafisa wengine wote wanaoapishwa pale kurasini wanaitwa Gazzeted officers ambao rais hahusiki nao na wala katiba haijasema lolote. kwa hiyo afisa mkuu wa polisi wa polisi wa mkoa ndie anahadhi sawa na afisa wa jwtz mwenye nyota moja na kuendelea. Hadhi hii pia wanayo wakuu wa wilaya na mikoa. Kwahiyo vile visoda vya polisi visikuchanganye kaka. Hilo polisi wanalijua isipokua huwa wanaact hawaelewi tu. Ukiwakuta wanaojua utaona walivyo na adabu...
 
kuna kitu kinaitwa kamisheni kwa maafisa wa jwtz ambayo hutolewa na raisi peke yake ni kiapo huapwa mbele ya rais tu kwa mujibu wa katika. Hawa maafisa kuanzia nyota moja wanaitwa commissioned officers ambao kwa upande wa jeshi la polisi ni ma rpc tu! Maafisa wengine wote wanaoapishwa pale kurasini wanaitwa gazzeted officers ambao rais hahusiki nao na wala katiba haijasema lolote. Kwa hiyo afisa mkuu wa polisi wa polisi wa mkoa ndie anahadhi sawa na afisa wa jwtz mwenye nyota moja na kuendelea. Hadhi hii pia wanayo wakuu wa wilaya na mikoa. Kwahiyo vile visoda vya polisi visikuchanganye kaka. Hilo polisi wanalijua isipokua huwa wanaact hawaelewi tu. Ukiwakuta wanaojua utaona walivyo na adabu...

mimi siyo askari ila niliwahi kushuhudia kivumbi katika ofisi moja ya jeshi la magereza pale askari wa jwtz mwenye nyota mbili alipotumwa na mkuu wake wa kituo kwa mkuu wa gereza na kukutana na msaidizi wa mkuu wa gereza mwenye nyota tatu na akajidai kumkaushia saluti yake. Afisa gereza akamhoji jamaa, hivi unafikiri hizi nyota nimeokota au ? Jamaa kajibu ujinga nilishangaa mjeda wa jw akikunjwa ile mbaya ugomvi ulijamalizwa na mkuu wa kikosi cha jw huku akimkoromea afisa wake kwa kukosa adabu!
 
Kuna kitu kinaitwa kamisheni kwa maafisa wa jwtz ambayo hutolewa na raisi peke yake ni kiapo huapwa mbele ya rais tu kwa mujibu wa katika. Hawa maafisa kuanzia nyota moja wanaitwa Commissioned officers ambao kwa upande wa jeshi la polisi ni ma RPC tu! Maafisa wengine wote wanaoapishwa pale kurasini wanaitwa Gazzeted officers ambao rais hahusiki nao na wala katiba haijasema lolote. kwa hiyo afisa mkuu wa polisi wa polisi wa mkoa ndie anahadhi sawa na afisa wa jwtz mwenye nyota moja na kuendelea. Hadhi hii pia wanayo wakuu wa wilaya na mikoa. Kwahiyo vile visoda vya polisi visikuchanganye kaka. Hilo polisi wanalijua isipokua huwa wanaact hawaelewi tu. Ukiwakuta wanaojua utaona walivyo na adabu...

Mtu aacti kitu halafu akukoromee unywee si ujinga huo!!!
 
Ni uelewa mdogo tu, ila ukweli ndio huo. Na kule kwenye shule zao hawaelezwi ukweli wa jambo hilo. We umewahi kusikia rais kaenda chuo cha magereza kuwaapisha maafisa? Siku zote tunaona akienda Monduli tu kutunuku kamisheni kwa maafisa jw na sio kwingineko. Hao wakuu wa polisi huwa wanaitwa pale ikulu kuapishwa kwa kuwa ni wachache hawawezi kufuatwa na rais bali wao humfuata rais pale Ikulu.
 
Kuna kitu kinaitwa Cammission ambacho Rais ndiye mwenye maamlaka ya kuapisha na non gazetted officer ambacho hutolewa na mkuu wa police au wakuu wa vikosi hata mkuu wa majeshi..

Sasa ninavyoelewa vyeo vya jeshi kuanzia nyota moja hadi General huapishwa na Rais mwenyewe na hawezi kutuma mwakilishi hata siku moja na hiyo ndio international Rank..

Na kuanzia coplo na kuendelea hutolewa na mkuu wa majeshi na hawa huvishwa na wakuu wa vikosi

Sasa kwa case ya Police kuna wakuu wachache kwenye ngazi yao ambao huapishwa na Rais,

Kwahiyo wote ambao hawaapishwi na Rais hao huitwa non gazetted officer, na haruhusiwi kuasalutiwa na hata mwenye nyota moja kutoka jwtz ila kwa yyt wa police ambaye ni camissinal na kuendelea huyo lazima asalutiwe na jwtz offer rank..

Yeah, there you are. Yaani Commissioned na Non Commissioned. Kwa upande wa Jeshi kuanzia Luten na kuendelea wote ni maafisa yaani Commissioned Officers( siyo NCO kama wale WOII na WOI). Hivyo kwa jeshi wengi wa maafisa hata maafisa wadogo kuanzia Luten, Captain, na maafisa kama Major, Lt Colonel na kuendelea wale wa rank za maafisa wakuu kama Colonel, Brig Gen, Maj Gen, Lt Gen hadi General mwenyewe hutunukiwa na Rais mwenyewe. Hivyo Afisa wa jeshi ana heshima ya pekee kiukweli!
 
Kuna kitu kinaitwa kamisheni kwa maafisa wa jwtz ambayo hutolewa na raisi peke yake ni kiapo huapwa mbele ya rais tu kwa mujibu wa katika. Hawa maafisa kuanzia nyota moja wanaitwa Commissioned officers ambao kwa upande wa jeshi la polisi ni ma RPC tu! Maafisa wengine wote wanaoapishwa pale kurasini wanaitwa Gazzeted officers ambao rais hahusiki nao na wala katiba haijasema lolote. kwa hiyo afisa mkuu wa polisi wa polisi wa mkoa ndie anahadhi sawa na afisa wa jwtz mwenye nyota moja na kuendelea. Hadhi hii pia wanayo wakuu wa wilaya na mikoa. Kwahiyo vile visoda vya polisi visikuchanganye kaka. Hilo polisi wanalijua isipokua huwa wanaact hawaelewi tu. Ukiwakuta wanaojua utaona walivyo na adabu...



asante mkuu coz binafsi naona ka mjeda ni mtu mzito hv kwa hawa cadet....
ni mtazamo tu
 
Kuna kitu kinaitwa kamisheni kwa maafisa wa jwtz ambayo hutolewa na raisi peke yake ni kiapo huapwa mbele ya rais tu kwa mujibu wa katika. Hawa maafisa kuanzia nyota moja wanaitwa Commissioned officers ambao kwa upande wa jeshi la polisi ni ma RPC tu! Maafisa wengine wote wanaoapishwa pale kurasini wanaitwa Gazzeted officers ambao rais hahusiki nao na wala katiba haijasema lolote. kwa hiyo afisa mkuu wa polisi wa polisi wa mkoa ndie anahadhi sawa na afisa wa jwtz mwenye nyota moja na kuendelea. Hadhi hii pia wanayo wakuu wa wilaya na mikoa. Kwahiyo vile visoda vya polisi visikuchanganye kaka. Hilo polisi wanalijua isipokua huwa wanaact hawaelewi tu. Ukiwakuta wanaojua utaona walivyo na adabu...

Kijeshi(JWTZ) wanachukulia Polisi na Magereza kama Vikosi na siyo Jeshi! Ni maafisa wachache sana ktk Polisi na Magereza wanapandishwa daraja na Rais ambaye ndiye Amiri Jeshi Mkuu. Hata hao ma RPC unao wazungumzia wanapandishwa/wanashushwa vyeo na IGP. Ni kinyume na Commissioned Officer wa JWTZ ambaye ni Rais na Amiri Jeshi tu ndiye anaweza kumvua nyota!
 
Nyota na salute ni vitu viwili tofauti. Nyota ya kijeshi ni alama ya kamishina aliyekasimiwa na rais maamuzi dhidi ya maisha ya mtu wakati wa majanga na dharura zenye hatari zinazoweza kusababisha maisha ya watu kupotea ili wengine waishi. Watakaoishi wanaweza kuwa raia wa nchi wanaokingwa na mashambulizi ya adui mwenye kutumia zana za kivita, kuumiza maslahi ya nchi ama kitu chochote muhimu kilichoainishwa katika katiba ya nchi kwa ajili ya uhai wa binadamu.

Kwa kuwa rais si huwa hayupo katika majanga hayo na kwa kuwa katiba inamtaka kuzuia majanga kutokea, ni hapo anapolazimika kukasimia madaraka hayo kwa kundi la wataalamu waliojifunza mahsusi kwa ajili ya kuzuia majanga hayo. Tofauti ya nyota za kijeshi huonekana kwa vyeo, madaraka na mfumo wa utendaji katika majukumu ambayo wao huyafanya kwa utaratibu maalum wa kitengo alichopo mhusika.

Nyota za polisi hazikasimiwi madaraka na rais kwa sababu ya mfumo wa utendaji wa polisi ulioainishwa na katiba. Wao hufanya kazi za usalama wa raia na hawana mfumo wenye maamuzi ya hatari dhidi ya maisha ya watu kwa kuwa ni jukumu la mamlaka ya wengine labda iwe self defence au maintenance of law and order; mambo ambayo hayahitaji matumizi ya zana kali zinazojumuisha mauaji ya halaiki.

Salute katika sehemu yeyote ile ni kupeana heshima kwa mamlaka ya aliyewapa madaraka hayo na siyo heshima ya hao wanaopeana salute. Moja ya sheria inayoruhusu salute za majeshi mbalimbali katika nchi yeyote ile ni majumuisho ya majeshi hayo wakati wa utendaji kazi. Kwa mfano, kabla ya dharura kutokea hapa nchini. Wanajeshi na watu wanaotoka katika vitengo vingine vya ulinzi na usalama vinavyotumia sare na vikiwa na kofia kichwani hupeana salute kwa busara ya kinidhamu ya kawaida ambayo hujengwa ndani ya majeshi wakati wa mafunzo yao na wakati wa dharua lakini si sheria wala lazima.

Wakati wa dharura ya vita au utendaji wowote wa kazi unaojumuisha majeshi yote, majeshi mengine tofauti na JW, hujumuishwa katika matukio kwa sheria maalum na kwa grade fulani inayotambuliwa kisheria na hivyo kutoa salute kwa afisa aliyenyumbulishwa ni suala la lazima. Salute pia ni lazima itolewe kwa afisa na ni lazima anayetoa awe na sare zinazojumuisha kofia la sivyo atabana mikono. Maafisa hupeana salute kwa kutegemeana na umbele wao.

Tofauti na salute za mikono, zipo salute nyingine nyingi kama vila za mizinga kama ya navy, wakati wa paredi, salute za ndege, salute wakati wa kutoa heshima ya wafu, n.k.

Umesomeka vyema mkuu.
 
Back
Top Bottom