Vijue vyeo, Majina na Alama za Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)

Askari hufahamiana vyeo vyao "seniority" kwa kuangalia vyeo vyao mabegani au ubavu wa mkono wa kushoto. Askari wa majeshi yote iwe ni TPS (Tanzania Prisons Services), TPF (Tanzania Police Force) au TPDF (Tanzania People's Defence Force) hupigiana salute kwa kuangalia nani ana cheo kikubwa na si nani anatoka jeshi gani.

Mfano; Wanapokutana Sajenti wa Magereza na Koplo wa Polisi, ni wajibu wa Koplo wa Polisi kumpigia salute Sajenti wa Magereza. Wanapokutana Kepteni wa Jeshi na ASP wa Polisi/Magereza ni wajibu wa Kepteni wa JWTZ kupiga salute kwa maafande hao wa Majeshi mengine waliomzidi vyeo.

Na ikumbukwe, vyeo vya majeshi ni internationalwise. Kepteni wa US Army atampigia salute Brigedia wa nchi ndogo na masikini Mauritania.

Ila utofauti unakuja katika vyeo vya IGP, CGP na CDF..IGP na CGP vyeo vyao ni sawa na Meja Jenerali. Kwa hiyo CDF ni mkubwa kwa IGP na CGP kwa kuwa CDF ni Jenerali

Mkuu hao hawapigiani salute ila unabana tu mikono na kusema "jambo afande".
 
Leo katika pitapita zangu nikakutana na mdaharo wa vyeo kati ya askari wa jwtz na polisi.mfano mwenye nyota mwanajeshi na mwenye nyota askar polis kuna tofauti na kama ipo kuna sababu ya kumpigia mwenzake salute

Nyota na salute ni vitu viwili tofauti. Nyota ya kijeshi ni alama ya kamishina aliyekasimiwa na rais maamuzi dhidi ya maisha ya mtu wakati wa majanga na dharura zenye hatari zinazoweza kusababisha maisha ya watu kupotea ili wengine waishi. Watakaoishi wanaweza kuwa raia wa nchi wanaokingwa na mashambulizi ya adui mwenye kutumia zana za kivita, kuumiza maslahi ya nchi ama kitu chochote muhimu kilichoainishwa katika katiba ya nchi kwa ajili ya uhai wa binadamu.

Kwa kuwa rais si huwa hayupo katika majanga hayo na kwa kuwa katiba inamtaka kuzuia majanga kutokea, ni hapo anapolazimika kukasimia madaraka hayo kwa kundi la wataalamu waliojifunza mahsusi kwa ajili ya kuzuia majanga hayo. Tofauti ya nyota za kijeshi huonekana kwa vyeo, madaraka na mfumo wa utendaji katika majukumu ambayo wao huyafanya kwa utaratibu maalum wa kitengo alichopo mhusika.

Nyota za polisi hazikasimiwi madaraka na rais kwa sababu ya mfumo wa utendaji wa polisi ulioainishwa na katiba. Wao hufanya kazi za usalama wa raia na hawana mfumo wenye maamuzi ya hatari dhidi ya maisha ya watu kwa kuwa ni jukumu la mamlaka ya wengine labda iwe self defence au maintenance of law and order; mambo ambayo hayahitaji matumizi ya zana kali zinazojumuisha mauaji ya halaiki.

Salute katika sehemu yeyote ile ni kupeana heshima kwa mamlaka ya aliyewapa madaraka hayo na siyo heshima ya hao wanaopeana salute. Moja ya sheria inayoruhusu salute za majeshi mbalimbali katika nchi yeyote ile ni majumuisho ya majeshi hayo wakati wa utendaji kazi. Kwa mfano, kabla ya dharura kutokea hapa nchini. Wanajeshi na watu wanaotoka katika vitengo vingine vya ulinzi na usalama vinavyotumia sare na vikiwa na kofia kichwani hupeana salute kwa busara ya kinidhamu ya kawaida ambayo hujengwa ndani ya majeshi wakati wa mafunzo yao na wakati wa dharua lakini si sheria wala lazima.

Wakati wa dharura ya vita au utendaji wowote wa kazi unaojumuisha majeshi yote, majeshi mengine tofauti na JW, hujumuishwa katika matukio kwa sheria maalum na kwa grade fulani inayotambuliwa kisheria na hivyo kutoa salute kwa afisa aliyenyumbulishwa ni suala la lazima. Salute pia ni lazima itolewe kwa afisa na ni lazima anayetoa awe na sare zinazojumuisha kofia la sivyo atabana mikono. Maafisa hupeana salute kwa kutegemeana na umbele wao.

Tofauti na salute za mikono, zipo salute nyingine nyingi kama vila za mizinga kama ya navy, wakati wa paredi, salute za ndege, salute wakati wa kutoa heshima ya wafu, n.k.
 
Hata mimi haya mambo yanaichanganya. nshakaa kambi ya jwtz kukiwa na askari walioa polisi tena wenye nyota, pia magereza. kwa nilivyozoea kuona kwa watu wa jeshi moja kupigiana saluti ni jambo la lazima kama mtoto anapomuamkia mzazi wake, cjawai ona sgt wa jwtz anampita meja wake bila kutoa salam, lakini majeshi tofauti inategemea na eneo mlilokutana kwa kweli, mbona wanapshanaga tu kitaa sometimes. ila kuna wakati ni lazima saluti itoke, km wewe na jirani yako muda mwngne mnapotezeana mkiamua mnasalimiana.
MIMI KINACHONICHANGANYA NI HIKI EBU MWENYE UJUZI ANIELEWESHE
Askari wa jwtz aliaanza na ukoplo basi atapanda wee mwisho tafika kwenye lile kolokolo(saa) huwa naitwaa sameja cjui. yaani huyo hadi atastaafu yuko hapo zaid atapata RSM(kitu km hicho)=HAPA NO NYOTA na wa nyota atatoka kwenye uluteni usu(cjui ndio hivyo maana nasikiaga tu) na kuendelea
sasa kwenye magereza mbona kuna watu niliwaona na masajenti zamani saiz wana nyota? ina maana nyota za huku hadi form 4 napata nyota? ilimradi tu awe amefanya kazi muda mrefu? MI SIELEWI WAPENDWA, mwenye ujuzi pls ili nijue nitoke vipi
 
Hata mimi haya mambo yanaichanganya. nshakaa kambi ya jwtz kukiwa na askari walioa polisi tena wenye nyota, pia magereza. kwa nilivyozoea kuona kwa watu wa jeshi moja kupigiana saluti ni jambo la lazima kama mtoto anapomuamkia mzazi wake, cjawai ona sgt wa jwtz anampita meja wake bila kutoa salam, lakini majeshi tofauti inategemea na eneo mlilokutana kwa kweli, mbona wanapshanaga tu kitaa sometimes. ila kuna wakati ni lazima saluti itoke, km wewe na jirani yako muda mwngne mnapotezeana mkiamua mnasalimiana.
MIMI KINACHONICHANGANYA NI HIKI EBU MWENYE UJUZI ANIELEWESHE
Askari wa jwtz aliaanza na ukoplo basi atapanda wee mwisho tafika kwenye lile kolokolo(saa) huwa naitwaa sameja cjui. yaani huyo hadi atastaafu yuko hapo zaid atapata RSM(kitu km hicho)=HAPA NO NYOTA na wa nyota atatoka kwenye uluteni usu(cjui ndio hivyo maana nasikiaga tu) na kuendelea
sasa kwenye magereza mbona kuna watu niliwaona na masajenti zamani saiz wana nyota? ina maana nyota za huku hadi form 4 napata nyota? ilimradi tu awe amefanya kazi muda mrefu? MI SIELEWI WAPENDWA, mwenye ujuzi pls ili nijue nitoke vipi

hii yako tuwasubir watu wa protocol waje aisee
 
Usipate tabu sana ya kutaka kujua hivi vyeo, nakushauri ingia ktk tovuti za haya majeshi utafahamu kila kitu.
 
Askari hufahamiana vyeo vyao "seniority" kwa kuangalia vyeo vyao mabegani au ubavu wa mkono wa kushoto. Askari wa majeshi yote iwe ni TPS (Tanzania Prisons Services), TPF (Tanzania Police Force) au TPDF (Tanzania People's Defence Force) hupigiana salute kwa kuangalia nani ana cheo kikubwa na si nani anatoka jeshi gani.

Mfano; Wanapokutana Sajenti wa Magereza na Koplo wa Polisi, ni wajibu wa Koplo wa Polisi kumpigia salute Sajenti wa Magereza. Wanapokutana Kepteni wa Jeshi na ASP wa Polisi/Magereza ni wajibu wa Kepteni wa JWTZ kupiga salute kwa maafande hao wa Majeshi mengine waliomzidi vyeo.

Na ikumbukwe, vyeo vya majeshi ni internationalwise. Kepteni wa US Army atampigia salute Brigedia wa nchi ndogo na masikini Mauritania.

Ila utofauti unakuja katika vyeo vya IGP, CGP na CDF..IGP na CGP vyeo vyao ni sawa na Meja Jenerali. Kwa hiyo CDF ni mkubwa kwa IGP na CGP kwa kuwa CDF ni Jenerali

Captain ni cheo kikubwa sana, labda ungesema ASP ni cheo gani maana wengine hatuvijui vyeo vya polisi.
 
Kuna kitu kinaitwa Cammission ambacho Rais ndiye mwenye maamlaka ya kuapisha na non gazetted officer ambacho hutolewa na mkuu wa police au wakuu wa vikosi hata mkuu wa majeshi..

Sasa ninavyoelewa vyeo vya jeshi kuanzia nyota moja hadi General huapishwa na Rais mwenyewe na hawezi kutuma mwakilishi hata siku moja na hiyo ndio international Rank..

Na kuanzia coplo na kuendelea hutolewa na mkuu wa majeshi na hawa huvishwa na wakuu wa vikosi

Sasa kwa case ya Police kuna wakuu wachache kwenye ngazi yao ambao huapishwa na Rais,

Kwahiyo wote ambao hawaapishwi na Rais hao huitwa non gazetted officer, na haruhusiwi kuasalutiwa na hata mwenye nyota moja kutoka jwtz ila kwa yyt wa police ambaye ni camissinal na kuendelea huyo lazima asalutiwe na jwtz offer rank.



Ni kweli ipo hivyo kwa maofisa wa jeshi (Jwtz) kuvishwa nyota na amiri jeshi mkuu.hii haimaanishi umekuwa mkubwa kuliko mwenye nyota zaidi wa jeshi lingine-maana ukumbuke raisi hutuma muwakilishi akafanye kwa niaba yake.

Hivyo basi,kama umezidiwa mawe utapiga tu,hata ukiwa umenuna.maana kama ataamua kukuwakia hutakuwa na notes za kumueleza.

Hivi kama afisa wa polisi mwenye nyota moja asipopigiwa saluti na private wa jeshi atamchukulia hatua gani?
 
Hivi kuna mwanajeshi ambaye ni sajenti au koplo anayeweza kumpigia saluti afisa wa polisi mwenye nyota? In short hata polisi wenyewe wanajua, na mwanajeshi hata asiye na cheo anajiona mkubwa kuliko polisi mwenye cheo cha juu. Hili halina ubishi.

Anajiona mkubwa, ila sio mkubwa kwake.

Kwakuwa hata akimkaushia nyota yake haishuki begani, wala hakatwi mshahara naye anampotezea.

Ila usiombe ukutane na mnoko.

Kipindi nipo kwa baba angu (ret.soldier) kambini nikiwa napita getini nilikuta kisanga cha aina yake, ndipo hapo nilipoelewa kuwa inategemea umekutana na officer mwenye hurka gani.

Aliingia afisa wa magereza, nyota mbili tu,ndani ya kagari kake, akafika getini na kukuta vijana pamoja na maafisa njota moja moja kama watatu hivi pale getini wakisubiri gari iwapeleke kambi nyingine kikazi.sasa huyu wa magereza yeye akiwa ana shida na CO wa kambi, anapita watu wanamtizama tu, akashuka kwenye gari.mpaka nilishangaa.alichouliza nani incharge wakaonyesha.alimmaind jamaa.ikabidi avunge hakumuona.

Niliondoka na maswali mengi sana, maana nilikuwa nadhani.mbwa anakunywa maziwa ya ngombe-ila ndama hawezi kunywa maziwa ya mbwa kumbe inawezekana ila tu sababu eti mbwa haliwi.
 
Anajiona mkubwa, ila sio mkubwa kwake.

Kwakuwa hata akimkaushia nyota yake haishuki begani, wala hakatwi mshahara naye anampotezea.

Ila usiombe ukutane na mnoko.

Kipindi nipo kwa baba angu (ret.soldier) kambini nikiwa napita getini nilikuta kisanga cha aina yake, ndipo hapo nilipoelewa kuwa inategemea umekutana na officer mwenye hurka gani.

Aliingia afisa wa magereza, nyota mbili tu,ndani ya kagari kake, akafika getini na kukuta vijana pamoja na maafisa njota moja moja kama watatu hivi pale getini wakisubiri gari iwapeleke kambi nyingine kikazi.sasa huyu wa magereza yeye akiwa ana shida na CO wa kambi, anapita watu wanamtizama tu, akashuka kwenye gari.mpaka nilishangaa.alichouliza nani incharge wakaonyesha.alimmaind jamaa.ikabidi avunge hakumuona.

Niliondoka na maswali mengi sana, maana nilikuwa nadhani.mbwa anakunywa maziwa ya ngombe-ila ndama hawezi kunywa maziwa ya mbwa kumbe inawezekana ila tu sababu eti mbwa haliwi.

Mkuu hebu elezea vizuri hicho kisa cha huyo askari magereza.
 
nyota ngapi?...kifupi mwenye nyota mbili polisi ni inspekta na jeshi ni luteni ; mwenye nyota tatu polisi ni assistant superintendent na jeshi ni kapteni
Leo katika pitapita zangu nikakutana na mdaharo wa vyeo kati ya askari wa jwtz na polisi.mfano mwenye nyota mwanajeshi na mwenye nyota askar polis kuna tofauti na kama ipo kuna sababu ya kumpigia mwenzake salute
 
Back
Top Bottom