Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,455
- 7,906
Sawa nime kupata vyema mkuu..Mkuu huwezi kuunderestimate power ya hizi organizations.
Mfano:
Rais wa Marekani Franklin D. Roosevelt, Waziri mkuu wa UK Winston Churchill na General Stalin wa urusi walikutana kwa siri IRAN kujadili jinsi watakavyomshughulikia Hitler katika WW2. Ni KGB waliogundua mtego wa spy wa wanazi waliokuwa wamefurika mji huo Tehran kuwaangamiza hasa rais wa US na Churchill. Kwa uoga Rais wa Marekani aliforce kwenda kujificha ubalozi wa Urusi ili awe na maximum usalama. Maana Walikamatwa maspy 400 wa hitler na KGB hapo mjini.
Ikumbukwe kama hawa wawili US na hasa Uk hakukua na mtu yoyote sio mfalme wala Waziri mkuu aliyekuwa na gut za kumbishia Hitler hata kutangaza pambano hadi walioenda nyumbani kwa Churchill (political reject) aje na baadae akaachiwa nchi awe PM. Yeye ndie hadi kesho Uk anaheshimika kuliko mtu yoyote. kama Isngekuwa KGB WW2 ingekuwa ni stori nyingine.