HUBERT MLIGO
Member
- Oct 23, 2009
- 46
- 0
Safi sana mwanadada Gaidi...
Mbona ni vitu vya kawaida tu kwa mtu wa kawaida kumiliki - sio lazima uwe selebu ili uwe na kimeo (sorry Primeo)
Jamani please tuwapige tafu wasanii wetu kwa kununua kazi zao halisi.kidogo kidogo tu,naowatakuwa na Magorofa ya Thamani km mimi na wewe.