Health and Wellness
Member
- Nov 3, 2014
- 38
- 10
Je, unajua kua mshtuko au Hofu iliyopitiliza ni ugonjwa na kua unatibika? Watu wenye tatizo hili huwa hofu kubwa wakati mwingine bila sababu; huhisi kama wanashindwa kufikiri vizuri; Wanashindwa ku concentrate kwenye kazi zao au masomo au mahusiano.
Hofu hii inaambatana na dalili za kimwili kama;
· Mapigo ya moyo kwenda kasi (racing heart beat),
· Kizunguzungu ( dizziness)
· Kukakamaa misuli (muscle tension),
· Kufa ganzi (numbness)
· Maumivu ya tumbo (stomach pain)
· Kutokwa jasho (sweating)
· Kutetemeka (shaking) na
· Kushindwa kuhema (shortness of breath).
· Kichefuchefu (nausea) N.k
· Ndoto za kutisha (nightmares)
· Kumbukumbu za matukio yanayoumiza hisia kama vile yanajirudia (flashbacks)
Hizi ni baadhi tu ya dalili za magonjwa ya hofu (anxiety disorders) ambayo ni pamoja na Panic; PTSD; GAD; Phobia n.k
Kikubwa ni kua magonjwa haya yanawasumbua watu wengi bila kujua kua yanatibika na matibabu yake hutolewa bure katika hospitali za serikali.
Hofu hii inaambatana na dalili za kimwili kama;
· Mapigo ya moyo kwenda kasi (racing heart beat),
· Kizunguzungu ( dizziness)
· Kukakamaa misuli (muscle tension),
· Kufa ganzi (numbness)
· Maumivu ya tumbo (stomach pain)
· Kutokwa jasho (sweating)
· Kutetemeka (shaking) na
· Kushindwa kuhema (shortness of breath).
· Kichefuchefu (nausea) N.k
· Ndoto za kutisha (nightmares)
· Kumbukumbu za matukio yanayoumiza hisia kama vile yanajirudia (flashbacks)
Hizi ni baadhi tu ya dalili za magonjwa ya hofu (anxiety disorders) ambayo ni pamoja na Panic; PTSD; GAD; Phobia n.k
Kikubwa ni kua magonjwa haya yanawasumbua watu wengi bila kujua kua yanatibika na matibabu yake hutolewa bure katika hospitali za serikali.