jamaa amekua na tendence ya kunitumia text za usiku mwema, zaidi ya mara nne kwa wiki. Its not common kwa wanaume kutumiana msg za lala unono. Najiuliza ''is he gay?'' maana si kawaida mambo haya.
Huyo block tu namba yake na umkwepe. Hata wadada hawana nafasi ya kutumiana msg za gnite bila kuwa na issue yoyote! Run for your dear soul!
He just care jamani. Why kuwa suspicious na kila binadamu mwenzako anachofanya kuwa ni kinyume na kawaida?