Zidumu fikra za Mwenyekiti demokrasia mpya Tanzania

Makupa

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
5,023
2,553
Nimekuwa nafuatilia malumbano ya vyama vya siasa kwa muda,ila nilichogundua ni kwamba mwananachama yoyote ndani ya hivi vyama haruhusiwi kuwa na mawazo tofauti na mwenyekiti wake,na ikatokea ya kuwa mwanachama ana mawazo tofauti na mwenyekiti,basi hapo ndipo unapoambiwa kuwa huna nidhamu.

Je watanzania wapenda demokrasia tukemee hii tabia ya aibu kabisa ambayo si tu inadidimiza mawazo ila inanyonga mawazo endelevu ya kizazi cha kuanzia mwaka 1970 mpaka miaka ya tisini
.
 
Baadhi ya vyama nchini vinatumia mfumo na katiba ya CCM,mwenyekiti hakosolewi hata kidogo hata kama amekosea anasifiwa na kupongezwa,huo ndio mtindo uliopo,cha msingi ni sisi wananchi kuvikataa hivyo vyama kwani havifai kuitwa vyama vya upinzani.
 
Zitto kabwe aliwahi kuwa na mgogoro mzito na Mbowe, kisa alitangaza kugombea uenyekiti na msemaji wa kambi rasmi bungeni
 
Hamad Rashid juzi ameingia kwenye mgogogro na Maalimu kwa kuwa eti katangaza kugombea ukatibu mkuu
 
Hata Shibuda naye alitaka kugombea urahisi, muulize CCM walimfanyaje!!
 
intelligent thread......

madhara ya background ya siasa under CCM dominaNCE for sometimes....

kwa nini list ya wajumbe ilibadilishwa mwishoni? kwa ni ni teendwa aliipokea list mpya ya nccr? kwa nini kura zipigwe za wazi kama zile za NDIYO na SIYO ZA MAMA MAKINDA BUNGENI?


how do we change?????
 
Back
Top Bottom