RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,519
Dr. Slaa Vs EL 2015 for president patachimbika. Kwanza ndani ya CCM kwenye mchakato wenyewe ni kuwa kutakuwapo na mpambano mkali sana huku akina Membe, Sumaye, Magufuli, Prof. Mwandosya nk wakitaka nafasi.
Wakishampitisha EL, anakutana na Dr Slaa (Its my hope atagombea), Dr. wanachuana vikali huku kashfa za hapa na pale zikitawala, na EL kwa sasa anasafisha jina kwa kupewa coverage kubwa kwa mujibu wa taarifa za kikao kilichopita, jamaa alitaka kumlipua JK kuwa alijiuzuru kulinda heshima ya serikali. Na JK hawezi kumfanya kitu, hata hii kitu ya katiba anatamani kuona kuna mabadiliko makubwa ya katiba, lakini anajikuta kwenye pressure kubwa kutoka ndani ya kundi la CCM linaongozwa na EL.
Wakishampitisha EL, anakutana na Dr Slaa (Its my hope atagombea), Dr. wanachuana vikali huku kashfa za hapa na pale zikitawala, na EL kwa sasa anasafisha jina kwa kupewa coverage kubwa kwa mujibu wa taarifa za kikao kilichopita, jamaa alitaka kumlipua JK kuwa alijiuzuru kulinda heshima ya serikali. Na JK hawezi kumfanya kitu, hata hii kitu ya katiba anatamani kuona kuna mabadiliko makubwa ya katiba, lakini anajikuta kwenye pressure kubwa kutoka ndani ya kundi la CCM linaongozwa na EL.