Your a great thinker mkuu..hizi ndizo threads zinazotakiwa kuletwa hapa JF watu wafikirie na kuweka kwenye wazi nini maana ya haya yote.Nimekuwa natazama sana siku za karibuni,jamaa anafanya ziara za kufa mtu,jana alikuwa Monduli tena ndani kabisa,nikashangaa leo namuona Dar pale sabasaba...halafu kitu kinachonisumbua sijui kama nipo ok!! HIVI LOWASA NI WAZIRI MSTAAFU au WAZIRI MKUU ALIYEJIUZULU..Maana kwasasa vituo vingi vya habari vinamtamka kama waziri mkuu mstaafu kitu ambacho sidhani kama ni sawa.Tukirudi kwenye mada,huyu jamaa anajua anachofanya,hili si jambo la kawaida na hebu tujiulize..Kwahili tutambue moja ni maandalizi ya uchaguzi wa NEC 2012 na maandalizi ya kuutaka uraisi 2015 ambao hataupata hata kwa dawa..hata kama atashinda kwa T.B Joshua miaka yote iliyobaki kabla ya uchaguzi wa 2015...
- Kwanini kipindi hiki?
- Kwanini bungeni hasemi na anakuwa msemaji sana akiwa uraiani kwasasa kuliko kipindi chochote?
- Kwanini kila sehemu ambapo anahisi kutakuwa na mkusanyiko wa watu au coverage ya vyombo vya habari lazima atie timu?
Sielewi cheo cha sasa cha Edward Lowasa.
Kila taarifa ya habari TBC, lazima aonekane. Je yeye ni mbunge tu wa Monduli au ana cheo kingine kinachompa nguvu ya hizo ziara.
Je yeye ndiye remote controller ya mtawala wa juu wa nchi?
Sielewi inakuwaje mtu ambaye si mwenyekiti wa chama wala kiongozi wa serikari apewe kipaumbele katika habari za kila siku?
Sielewi cheo cha sasa cha Edward Lowasa.
Kila taarifa ya habari TBC, lazima aonekane. Je yeye ni mbunge tu wa Monduli au ana cheo kingine kinachompa nguvu ya hizo ziara.
Je yeye ndiye remote controller ya mtawala wa juu wa nchi?
Sielewi inakuwaje mtu ambaye si mwenyekiti wa chama wala kiongozi wa serikari apewe kipaumbele katika habari za kila siku?
Kuna unapana wa jambo hilo tofauti na unavyofikiri wewe ki juu juu. Hilo lilikuwa jambo zito ambalo lilibeba kashfa iliyokuwa inamuhusu rais pia. Kukurupuka kama unayotaka wewe kungesababisha mtafaruku mkubwa na mgongano wa kuiutawala. Alichofanya EL ni kutumia busara ya hali ya juu kunusuru hali. Kumbuka alitaka kuvunja mkataba wa RICHMOND, Akampigia simu raisi kutaka ushauri. Akaambiwa asubiri rais anashauriana na makatibu wa wizara. Ungekuwa wewe ungefanya nini. Aliwajibika katika hali ya kuepusha pepo mchafu katika serikali yake.
Akiwa kimya mnasema akiongea mnasema kweli binadamu haridhiki.
Your a great thinker mkuu..hizi ndizo threads zinazotakiwa kuletwa hapa JF watu wafikirie na kuweka kwenye wazi nini maana ya haya yote.Nimekuwa natazama sana siku za karibuni,jamaa anafanya ziara za kufa mtu,jana alikuwa Monduli tena ndani kabisa,nikashangaa leo namuona Dar pale sabasaba...halafu kitu kinachonisumbua sijui kama nipo ok!! HIVI LOWASA NI WAZIRI MSTAAFU au WAZIRI MKUU ALIYEJIUZULU..Maana kwasasa vituo vingi vya habari vinamtamka kama waziri mkuu mstaafu kitu ambacho sidhani kama ni sawa.Tukirudi kwenye mada,huyu jamaa anajua anachofanya,hili si jambo la kawaida na hebu tujiulize..Kwahili tutambue moja ni maandalizi ya uchaguzi wa NEC 2012 na maandalizi ya kuutaka uraisi 2015 ambao hataupata hata kwa dawa..hata kama atashinda kwa T.B Joshua miaka yote iliyobaki kabla ya uchaguzi wa 2015...
- Kwanini kipindi hiki?
- Kwanini bungeni hasemi na anakuwa msemaji sana akiwa uraiani kwasasa kuliko kipindi chochote?
- Kwanini kila sehemu ambapo anahisi kutakuwa na mkusanyiko wa watu au coverage ya vyombo vya habari lazima atie timu?
umenunua lini mzani wa kupima uzito wa lugha??Kaka ungekuwa unatumia tu lugha ya taifa, kiingereza chako ni chepesi mno!
Mwenye Kiingereza kizito ni David Cameron ndio mwenye Lugha yake. una la zaidi?
Lowassa ni:
...Mbunge
...Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama.
...Waziri Mkuu Mstaafu.
...Mjumbe wa CC na NEC CCM.
...Mtanzania mwenye kuitakia mema nchi yake.
Hivyo, anastahili kupewa coverage ya kutosha na TBC.
Ni Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya ulinzi na usalama kama sikosei,pia ni gamba gumu sana ambalo kubanduka "haliwezekaniki"Sielewi cheo cha sasa cha Edward Lowasa.
Kila taarifa ya habari TBC, lazima aonekane. Je yeye ni mbunge tu wa Monduli au ana cheo kingine kinachompa nguvu ya hizo ziara.
Je yeye ndiye remote controller ya mtawala wa juu wa nchi?
Sielewi inakuwaje mtu ambaye si mwenyekiti wa chama wala kiongozi wa serikari apewe kipaumbele katika habari za kila siku?