Ziara za Arusha na Michango:Lowassa unatafuta nini ?

TAREHE 26 OCT LOWASA MBUNGE WA MONDULI (SIYOWAZIRI MKUU MSTAFU NI WAZIRI ALIYETIMULIWA NA KIKWETE KWA MANUFAA YA NCHI) NDIO MGENI RASMI ANAKUJA KUFANYA HARAMBEE ST ANTONI SEC SCHOOL mbunge wetu WA TMK yeye anakuja kama mgeni mualikwa this is SHAME!!!!!!!!
 
Lowassa, Tanzania Kubwa, Hujatembela Hata Minoa 15. Sasa Arusha Kunani? Au Ni Ukabila Na Udini Tu!

Fanya Zira Za Binafsi Kwa Gharama Binafsi, Tunakuona Usidhani Hatukumliki, Tumekuwa Tukikusikia Hata Kabla Ya Kuwa Pm Kuwa Wewe Kwa Ukabila Ni Babu Kubwa.

Awatembelee kwani ye nani??? au ndiyo umeshamchagua Rais 2015??
 
Back
Top Bottom