Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
USHIRIKISHWAJI WANANCHI KATIKA KUIBUA MIRADI YA MAENDELEO
Tusiwatenge, lakini tuendelee kuwalinda mpaka wimbi la sasa la kuwashambulia litakapopita kwa sababu hilo ni wingi tu la kupita tu. Hawa wajinga wakiona kuwa vidole na nywele za albino hazileti utajiri, wataacha tu,amesema Rais.
Alikuwa akitoa maelekezo baada ya kuwa ameambiwa kuwa watoto albino katika wilaya hiyo wanasoma katika shule za walemavu wa kuona na kusikia katika wilaya hiyo.
Tusiwatenge. Kwa sababu kwa kufanya hivyo, tutawatia hofu zaidi, ameeleza Rais kabla ya kuambia kuwa wanafunzi hao wamewekwa katika shule hizo kwa sababu ya udhaifa wa kuona.
.[/SIZE][/FONT]
Rais wetu, mtu mwenye MADARAkA makubwa sana kikatiba (alisema yeye mwenyewe) katuambia kuwa TUSUBIRI wimbi la KUUWA MA-ALBINO liishe. Kama yanamshinda si abadili katiba na kumpa PM madaraka makubwa zaidi? PM ndiyo afe na wauwa ma-Albino. Wakati mwingine napata wasiwasi kama na yeye Muungwa huko Bagamoyo katika hizo Test Tube za waganga wake wa kiennyeji, haziingii ngozi za zeruzeru. To SAD. So the answer is JUST WAIT. Just wait my son. Just wait my daughter. Time is an answer.