Gramu 20 tu? Kaangalie vizuri mkuu.
kweli mkuu, gr 20 ni ndogo kulihonga lifisadi likubwa namna hiyo
Hivi hao wamiliki wa fisi wana kibali kweli?
Mbona wengine wanasulubiwa kwa kumiliki mijusi tu! (niliipata hii kupitia power breakfast - clouds fm)
kweli mkuu, gr 20 ni ndogo kulihonga lifisadi likubwa namna hiyo
Basi wangemmilikisha mgodi. Kuna migodi mingi Shinyanga! Mmh Mtoto wa Mkulima hapa umeumbuka, mbuzi? mbuzi? Na waliokosa mbuzi ndani? Aibu! Hebu muipate hii, hata JK aliwahi kupewa ng'ombe Ukara Kisiwani, Ukerewe, shughuli ilikuwa kumsafirisha hadi Dar! Hivi kwa nini viongozi wa Afrika wanateswa sana na kula????
wangempa zawadi ya fisi anaendeleze shughuli zake za jadi....... si kulazmisha wanakijiji maskini watoe vitowewo vyao(mbuz) kumzawadia