Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
Ratiba iliyotolewa ya makamu wa rais mkoa wa mwanza.
Ametua mwanza anakwenda kwimba anarudi kulala mwanza mjini
Kesho yake anakwenda Geita na Sengerema
Siku ya mwisho Magu na kuutubia mkutano wa wakazi wa mji wa magu kisha na kurudi Dar,
Cha ajabu,Pale anapolala mwanza mjini kula wilaya mbili Nyamagana na Ilemela hapo makamu wa rais Hakuna mkutano au kukutana na wakazi wa maeneo hayo
Pili wilaya ya Ukerewe hafiki hapo.Swali kwa kuwa maeneo hayo yanaongozwa na Chadema.? ndo maana hakutani nao.Kwanini?
Ametua mwanza anakwenda kwimba anarudi kulala mwanza mjini
Kesho yake anakwenda Geita na Sengerema
Siku ya mwisho Magu na kuutubia mkutano wa wakazi wa mji wa magu kisha na kurudi Dar,
Cha ajabu,Pale anapolala mwanza mjini kula wilaya mbili Nyamagana na Ilemela hapo makamu wa rais Hakuna mkutano au kukutana na wakazi wa maeneo hayo
Pili wilaya ya Ukerewe hafiki hapo.Swali kwa kuwa maeneo hayo yanaongozwa na Chadema.? ndo maana hakutani nao.Kwanini?