Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 375
Makondo,
mimi nilizaliwa 1980, kwa hiyo had 1986 niliweza kuona hiyo vita ikiishia kaka, nakumbuka siku moja tulikimbizwa kutoka nyakitono kwenda natta kujificha eti kabila fulani wankuja na bunduki kuchukua ng'ombe wetu.loo nakumbuka mimi na wadogo zangu tulivyojificha vichani siku nzima aisee, yaani wenye kuijua serengeti tuliyotokea enzi zile hawawezi kutamani ukabila tena.
hata watu wa humu jf wanonifahamu, wajue nimepita kona mbaya sana ya life na hii ni sababu nakuwa na uchungu wa life na mabadiliko ya watu kaka... makondo najua tutatafutana nikupe issue moja ya kufanya kule kwetu, niko na mipango ya kutosha kuwabadilisha watu.
hii sio ya kisiasa ila ya kiharakati tu.
mimi nilizaliwa 1980, kwa hiyo had 1986 niliweza kuona hiyo vita ikiishia kaka, nakumbuka siku moja tulikimbizwa kutoka nyakitono kwenda natta kujificha eti kabila fulani wankuja na bunduki kuchukua ng'ombe wetu.loo nakumbuka mimi na wadogo zangu tulivyojificha vichani siku nzima aisee, yaani wenye kuijua serengeti tuliyotokea enzi zile hawawezi kutamani ukabila tena.
hata watu wa humu jf wanonifahamu, wajue nimepita kona mbaya sana ya life na hii ni sababu nakuwa na uchungu wa life na mabadiliko ya watu kaka... makondo najua tutatafutana nikupe issue moja ya kufanya kule kwetu, niko na mipango ya kutosha kuwabadilisha watu.
hii sio ya kisiasa ila ya kiharakati tu.