Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Bwana moderator hujaitendea haki hii post, haiwezekani habari nyeti kama hii unaitupia kwenye post nyingine, unawanyima watu uhuru!!!!!!! tafadhali naomba irudi kama poat inayojitegemea
Mkuu waandikie PM! Wakati mwingine huwa nashindwa pia kuelewa weredi wa hawa jamaa! Habari yako haina mahusiano ya hapa walipounganisha!