JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
Yupo anafanya kuandikia watu vichekeshooo
Zembwela anakimudu vilivyo kipindi anachotangaza na utashangaa anavyochambua mada vizuri kwa kuhusisha na mazingira halisi ya kitanzania tofauti na wanaojiita wasomi wanapohusisha mada zao na mazingira ambayo ni ya kudhani
acha utoto au usela mavi kama hujui piga kimya.....