Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Zembwela ana elimu gani!? Hata form four hajafika... hapa ni great thinker tu,pleade!!!
Umenena kaka, zembwela anauzuri wake lakini mara nyingine anaonekana ana harufu ya magamaba ingawa haainish moja kwa moja,
umeshamaliza kunya au bado?Jikite kwenye mada husika pimbi wewe
Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata muda wa ziada kama huo.
......na bado akawa raisi ahahahah!!!!Hata JK mwanzo alikuwa anakubalika na jamii........ na akapata kura nyingi sana za uraisi lakini 2010 kura zilipungua sana
..kwani zambwela ndo nani wajameni??? mbona mi simfahamu mwenzenu etii!!Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata muda wa ziada kama huo.
Kweli tanzania kuna machizi wengi wote mnaomtetea sugu ni machizi na naexpect muwe mirembe, so hivi mmewezaje kutumia net. Am just 1_ years old n am better than you.
Kweli tanzania kuna machizi wengi wote mnaomtetea sugu ni machizi na naexpect muwe mirembe, so hivi mmewezaje kutumia net. Am just 1_ years old n am better than you.
inawezekana wewe sio binadamu bali ni robot au alliens
wewe ndo chizi kwani ulikuwa hujajua siku zote kuwa weye ni chizi, au kwa weye ndo unatumia masaburi yako kupata akili.
Sikiliza wimbo namba 19 kwenye hiyo albam ya antivirus vol2 utapata majibu.Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata muda wa ziada kama huo.