Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Tume ya Uchaguzi `Zenji` yakana kupokea mashtaka ya CCM.
Posted Wed, March,04 2009
Source Alasiri
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), imekanusha kupokea malalamiko kutoka chama cha Mapinduzi (CCM), juu ya ukiukwaji wa sheria za uandikishaji wa wapiga kura katika Jimbo la Magogoni.
__________________________
Ukizoea vya kunyonga vya kusinja huviwezi ,yaani mwaka ujao Sultani CCM ndio mwisho wake ,hapo ndio itakapopatikana raha ya kudili na mafisadi ,nasikia Anna Mkapa tumbo joto : D
Posted Wed, March,04 2009
Source Alasiri
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), imekanusha kupokea malalamiko kutoka chama cha Mapinduzi (CCM), juu ya ukiukwaji wa sheria za uandikishaji wa wapiga kura katika Jimbo la Magogoni.
__________________________
Ukizoea vya kunyonga vya kusinja huviwezi ,yaani mwaka ujao Sultani CCM ndio mwisho wake ,hapo ndio itakapopatikana raha ya kudili na mafisadi ,nasikia Anna Mkapa tumbo joto : D
Last edited by a moderator: