Monsignor
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 523
- 13
Wana JF huyu jamaa yuko wapi?amefikishwa mahakamani au yuko huru?
yuko kizuizini?
Ulipaswa kuuliza Chenge na Rostam haya mambo ya Ze Utamu hayana tija kwetu wasiwasi ni kwenu wakware. Akamatwe asikamatwe sioni athari yeyote kwa mlalahoi. Besides Mlalahoi kakwambieni vizuri tu, hakuna kesi kwa sababu mpaka kesho hawamfahamu mtu mwenyewe asa watashitaki ruhani?