Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
kama unaangalia zamani kidogo UTAMU wakati inaanzishwa kulikuwa na mtu anaitwa Abdalah Issah sasa huyu abdalah issa ambaye ni mfanyakazi wa Shigongo ana habari nyingi na za ndani zaidi kuhusu THEUTAMU historia inaonyesha hivyo na hata rudepichaz anavyojibu email za watu IP ADDRESS yake ni ya globalpublishes hapo bamaga ni kitu kirahisi tu