Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Wakuu wote humu jamvini nawasalimu.
Nilikuwa na rafiki yangu mmoja anataka kufungua biashara yake sehemu fulani hapa Tanzania. Kama ilivyo ada akaenda kwa hawa jamaa wa TRA. Akawaambia lengo la kufungua biashara, yakaanza maswali kama ilivyo ada.
1- Mtaji umepata wapi
2- Kodi ya nyumba unalipa shilingi ngapi.
3- Una wafanyakazi wangapi.
4- Unategemea kuwa utakuwa unauza shs ngapi kwa siku (hapo hajafungua biashara!)
nk!nk!
Jamaa wakateremsha hesabu zao, wakamwambia kwa kuwa returns zako kwa mwaka ni zaidi ya 20m basi unatakiwa uwe na mhasibu!
Swali, Je, kuna ulazima wowote wa kuwa MHASIBU wakati huyu mwenye biashara ana uwezo wa kutunza kumbukumbu sahihi na kuziwasilisha TRA bila kupitia kwa huyu wanayemwita mhasibu?
Kuna sheria inayoagiza kuwa wafanyabiashara hawa wadogo wawe na wahasibu?
Naomba mwenye ufahamu wa hili anifafanulie tafadhali. Natanguliza shukrani zangu.
Nilikuwa na rafiki yangu mmoja anataka kufungua biashara yake sehemu fulani hapa Tanzania. Kama ilivyo ada akaenda kwa hawa jamaa wa TRA. Akawaambia lengo la kufungua biashara, yakaanza maswali kama ilivyo ada.
1- Mtaji umepata wapi
2- Kodi ya nyumba unalipa shilingi ngapi.
3- Una wafanyakazi wangapi.
4- Unategemea kuwa utakuwa unauza shs ngapi kwa siku (hapo hajafungua biashara!)
nk!nk!
Jamaa wakateremsha hesabu zao, wakamwambia kwa kuwa returns zako kwa mwaka ni zaidi ya 20m basi unatakiwa uwe na mhasibu!
Swali, Je, kuna ulazima wowote wa kuwa MHASIBU wakati huyu mwenye biashara ana uwezo wa kutunza kumbukumbu sahihi na kuziwasilisha TRA bila kupitia kwa huyu wanayemwita mhasibu?
Kuna sheria inayoagiza kuwa wafanyabiashara hawa wadogo wawe na wahasibu?
Naomba mwenye ufahamu wa hili anifafanulie tafadhali. Natanguliza shukrani zangu.