minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
wakuu,
nimekuwa mfuatiliaji wa karibu sana wa kipindi cha vichekesho almaarufu ze komedy.
huyu jamaa anayejiita bepari la kihaya,(kila sehemu yake ya kujidai inapafika), hakosi kumtaja abdul mteketa; mzee wa kilombero, ( mzee wa english medium...)
japo nililizoea hilo jina hilo bila kufahamu undani wa mhusika; sasa nimepata insight kwamba huyo mteketa, (ambaye amepitishwa na ccm kugombea ubunge kupitia chama hicho kwenye jimbo la uchaguzi la kilombero ), alikuwa na mahesabu ya mbali sana kwani jina lake liliuzika sana kupitia ze komedy.
kama dhana yangu hiyo itakuwa sahihi, basi huyo mteketa atahitaji pongezi zangu(zetu?) kwa kupiga penati ya mbali na kufunga goli ndani ya chama chake bila ya watu kugundua janja hiyo.
nimekuwa mfuatiliaji wa karibu sana wa kipindi cha vichekesho almaarufu ze komedy.
huyu jamaa anayejiita bepari la kihaya,(kila sehemu yake ya kujidai inapafika), hakosi kumtaja abdul mteketa; mzee wa kilombero, ( mzee wa english medium...)
japo nililizoea hilo jina hilo bila kufahamu undani wa mhusika; sasa nimepata insight kwamba huyo mteketa, (ambaye amepitishwa na ccm kugombea ubunge kupitia chama hicho kwenye jimbo la uchaguzi la kilombero ), alikuwa na mahesabu ya mbali sana kwani jina lake liliuzika sana kupitia ze komedy.
kama dhana yangu hiyo itakuwa sahihi, basi huyo mteketa atahitaji pongezi zangu(zetu?) kwa kupiga penati ya mbali na kufunga goli ndani ya chama chake bila ya watu kugundua janja hiyo.