Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Sipendi wanavyotumia taswira ya mwanamke kuchekesha watu kwan hawana ubunifu mwingine? Hopeless
Well, said Mkuu..very true!Morally ni vibaya(udhalilishaji),
Spiritually(Kumbukumbu la Torati /Deutoronomy 22:5) sijui kwa wenzetu ma-ustaadhi!
But i dont this is even culturally acceptable!
Tena wakome kuwafanya dada zetu kama chombo cha kuchekeshea watu. Halafu mbona kinadada kama wanafurahia hali hii! TAMWA kimya, TNGP Mabibo kimya, Nkya kimya, Bisimba kimya....... kama hawaoni vile.
Sipendi wanavyotumia taswira ya mwanamke kuchekesha watu kwan hawana ubunifu mwingine? Hopeless