kipanga mweupe
Member
- Mar 8, 2008
- 15
- 1
Pamoja na yote, nadhani nia ya EATV ilikuwa kuwakomoa vijana tu! Na ilitumia nafasi ya ujinga wao wa kutojua sheria kuwakomoa.........which is not good!
Kwa hali ya Kitanzania na jinsi vijana hao walivyojitahidi kujiajiri, nadhani kwa maoni yangu EATV walitakiwa kama walikuwa na nia nzuri na vijana hao ilikuwa ni kuwaita na ku-negotiate mkataba wao upya kwa kuangalia na kuzingatia mahitaji ya wakati!!
Mr. Mengi akiwa ni mfano katika kusaidia vijana kujikwamua kimaisha......nadhani hapa una mtihani kitaifa kuonesha ukweli wako katika kusaidia vijana, na sio kutumia nafasi yako ya kipesa na katika society kuwakomoa vijana wanaotaka kwenda mbele kimaisha.
Elewa kuwa jamii kila siku huwa inajifunza kwa makosa......itaicost EATV in a way in future kama sio IPP Media kwa ujumla kwa hili litokealo!!!
Take care
Kwa hali ya Kitanzania na jinsi vijana hao walivyojitahidi kujiajiri, nadhani kwa maoni yangu EATV walitakiwa kama walikuwa na nia nzuri na vijana hao ilikuwa ni kuwaita na ku-negotiate mkataba wao upya kwa kuangalia na kuzingatia mahitaji ya wakati!!
Mr. Mengi akiwa ni mfano katika kusaidia vijana kujikwamua kimaisha......nadhani hapa una mtihani kitaifa kuonesha ukweli wako katika kusaidia vijana, na sio kutumia nafasi yako ya kipesa na katika society kuwakomoa vijana wanaotaka kwenda mbele kimaisha.
Elewa kuwa jamii kila siku huwa inajifunza kwa makosa......itaicost EATV in a way in future kama sio IPP Media kwa ujumla kwa hili litokealo!!!
Take care