The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
wamefuliya au wamefulia..hahahahaha Mr Nice meno 34 yote mbili, kwani walimzonga sana.
Original comedi,Kwishney kabisaaaaaaaa.Kweli Usitukane wakunga na uzazi ungalipo-sasa ni zamu yao kufulia.
Mnawalaumu kwa lipi hasa? Sasa kama wamefulia ndio uanzishe thread ? Wanakula kwako ?
Mnawalaumu kwa lipi hasa? Sasa kama wamefulia ndio uanzishe thread ? Wanakula kwako ?
thread inawasaidia kupata feedback kutoka kwa watazamaji.wasikae kwenye Tv wakadhani watu wanawakodolea macho...km watapata ujumbe wataangalia jinsi ya kujipanga upya.hii ni mojawapo ya kazi za JF..ni mtazamo tu.
What a CR.......P!!!
Nadhani una matatizo ya msingi ya uelewa.
sasa kwani kazi yao sio ujasiliamali? wakichemka wakaondoka kwenye hii ramani itakua hasara yao pekeyao au? am not sure kama umeangalia hilo kwa mapana na marefu coz wakifulia na kutoka kwenye ramani kuna watu kibao watapata tabu. tukianza na familia zao, wafanyakazi wao, mzunguko wa hela na vingine vingi. kwao ni ajira lakini kupitia kwao wengine wamenufaika ambao kama jamaa watapotea itakula kwao.
so tupo hapa kuwa alert ili wajue jinsi ya kusolve hilo tatizo...kaka abdul vipi aisee?
sasa kwani kazi yao sio ujasiliamali? wakichemka wakaondoka kwenye hii ramani itakua hasara yao pekeyao au? am not sure kama umeangalia hilo kwa mapana na marefu coz wakifulia na kutoka kwenye ramani kuna watu kibao watapata tabu. tukianza na familia zao, wafanyakazi wao, mzunguko wa hela na vingine vingi. kwao ni ajira lakini kupitia kwao wengine wamenufaika ambao kama jamaa watapotea itakula kwao.
so tupo hapa kuwa alert ili wajue jinsi ya kusolve hilo tatizo...kaka abdul vipi aisee?
Kama tusipowaambia ukweli watajifunza vp kuwa wanaboa! washkaji zako nini mwana!
Inaonekana bado sana hujaelewa ninachokifafanua. Kama wanakuboa why so much trouble? kwa nini uhangaike kuboresha ajira na kipato cha wengine ? je wewe ni mahiri ktk kazi unayofanya ? huna kitu kingine cha kufanya mpaka udandie kurekebisha vya wengine? Wamekutuma uwafanyie tathmini?
And kwanini unatumia nguvu nyingi kubwabwaja haki yangu ya msingi ya kukicritisize?
Ndo maana nimekuuliza hao jamaa washkaji zako nini? I dont give a damn kama kwa kusema hivi naboresha kipato cha wengine! Wewe ndo nakuona mshamba kwa kuongea usichokijua mwana!
Ndio matatizo ya kukijulia kiswahili ukubwani. Unaweza kunionesha ni wapi "nimebwabwaja haki yako"?
Nikuzuie ku-criticize wewe kama nani? Una nini hasa cha kujivunia ktk fani ya burudani? Una cheti chochote ktk mambo ya critic? Propably huna, hivyo 'criticism' kwako, 'utumbo' kwangu. Upozz?