Kabota
Member
- Aug 15, 2009
- 63
- 10
Jana nimekubali kuwa bila Masanja kama anchor kwenye Ze Komedi show inasuck! Show ya jana ilikuwa mbaya kinoma. Nilikuwa najilazimisha kucheka but sikucheka coz there was nothing to laugh at! Wale waliokuwa wanasoma wanajifanya kuongea viingereza mshenzi ndo walikuwa wanaboooooooooooooooooa! Kwa style ya jana Futuhi iko juu zaidi ya Ze Comedy yenu hiyo.