Hekima Ufunuo
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 220
- 11
Mbona mnatukana watu humu????. Hii ni kazi kama kazi nyingine na ni vizuri kuonyesha heshima kidogo. Kwa mfano, sitopendezwa kama mtu atalnionyesha dharau kwenye kazi yangu hii ya kuzibua mitaro na vyoo.