Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,210
<br />Ustaarabi nini? kuwapa big up wanao kashfu imani ya wenzao au?
<br />
nop, najua wanakosea, but ulikuwa mkali mno mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Ustaarabi nini? kuwapa big up wanao kashfu imani ya wenzao au?
<br />Ustaarabi nini? kuwapa big up wanao kashfu imani ya wenzao au?
<br />
<br />
hawakuikashifu dini waliwakashifu waumini wanaofanya hivyo.
Nawe umeanza, mbona huo ni utani wa siku zote, kwa sababu maulid lazima mpunga upikwe. Utani tu. Hukumbuki kuwa watu wanaenda na ndizi kwenye kanzu za kulia wali!!!!! baada ya maulid
hao ni wachekeshaji tu..! angalia jinsi wanavyovaa wakiigiza nyimbo za dini za kikristo...! USIKUZE JAMBO DOGO BANAAA..!