Ze comedi... Wanajenga, wanabomoa...?

mzee mbona hukuitwa wewe kwenba BB4 kuwakaribisha wawakilishi wa nchi mbalimbali, ameitwa Kanumba kwa sababu yeye ni Celebrity na ilitamkwa kwamba jamaa anatoka Tanzania, hivyo anapochemsha ni aibu kwa Taifa kwa maana hizo ndio product zetu, sasa Ze Comedy wana Tatizo gani kuigiza yaliyojili huko bondeni, mimi nadhani hii ni changamoto kubwa kwa bwana Kanumba kutafuta kozi ya ungenge kwa sababu yeye ni Celebrity na muda wowote anaweza itwa kwenda kwenye maoccasion makubwa kama hayo ili atoe keynote, sasa kwa broken kama ile sijuhi kama jamaa watamwita tena

Umeongea yote mkuu..Dogo kama anataka aende mbali inabidi aingie chimbo apige hiyo English course,otherwise aendelee na MAIGIZO yao yale ya KAOLE ya akina Mzee PEMBE,BAMBO,KIWEWE,KIPEMBA,MATUMAINI,KINGWENDU na swahiba wake RAY(eti naye anajiita The Greatist)
 
Waombe msamaha kwa kosa gani? Mi sioni kosa walilolifanya. Wamewaigiza watu mashuri kuliko huyo Kanumba hamjasema, kusemwa Kanumba imekuwa nongwa? Kanumba alifulia kama ze komedy wanavyoelekea kufulia, hilo halina ubishi.

(Mimi naona tunaongea mengi mno, tatizo la watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.Ze comedy wameigiza kanumba kuwa amechemka kwenye Kingereza ni ukweli kwani uongo?.Amechemka aende akasome sioni tatizo.Kitu kingine waponda kikao chao, ni kweli lazima wakiponde.Mara ngapi tumeona katuni za mawaziri wamechorwa kwenye magazeti, hata bush na clinton, sasa kuwaigiza wao kuwa wanachemka ndo wanaandamana kweli ni ujinga mtupu shule haimo kichwani.Basi kama ni kuandanamana mawaziri na wabunge wote wangekuwa wameandamana kwa katuni zinazochorwa kila siku.Nasema wasaniii wote wamechemka.Ze comedy hoyeeeee? ingwa nawaponda pia, nao waende shule.
 
Wadau, jana hawa jamaa wa Ze comedi wameendeleza uhasama dhidi ya wasanii wenzao wa kutengeneza filamu baada ya kuponda kikao cha wasanii hao kilichofanyika juzi n huku wakijigamba kuwa wao hawatishiki n kwa jeuri zaidi hata wakamkaribisha Manji kwenye kipindi chao...

Je, watakapo fulia kabisa MANJI ataendelea kuwatunza?


USIMCHEKE MAMBA KABLA.........

Hawa vijana , they are no longer relevant,kinyaa, siku nyimgi nimeacha kuwatazama
 
Waombe msamaha kwa kosa gani? Mi sioni kosa walilolifanya. Wamewaigiza watu mashuri kuliko huyo Kanumba hamjasema, kusemwa Kanumba imekuwa nongwa? Kanumba alifulia kama ze komedy wanavyoelekea kufulia, hilo halina ubishi.
labda huwa hufatilii watu wamekuwa wakiwa lalamikia kwa muda mrefu sana...
 
Back
Top Bottom