Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,754
mzee mbona hukuitwa wewe kwenba BB4 kuwakaribisha wawakilishi wa nchi mbalimbali, ameitwa Kanumba kwa sababu yeye ni Celebrity na ilitamkwa kwamba jamaa anatoka Tanzania, hivyo anapochemsha ni aibu kwa Taifa kwa maana hizo ndio product zetu, sasa Ze Comedy wana Tatizo gani kuigiza yaliyojili huko bondeni, mimi nadhani hii ni changamoto kubwa kwa bwana Kanumba kutafuta kozi ya ungenge kwa sababu yeye ni Celebrity na muda wowote anaweza itwa kwenda kwenye maoccasion makubwa kama hayo ili atoe keynote, sasa kwa broken kama ile sijuhi kama jamaa watamwita tena
Umeongea yote mkuu..Dogo kama anataka aende mbali inabidi aingie chimbo apige hiyo English course,otherwise aendelee na MAIGIZO yao yale ya KAOLE ya akina Mzee PEMBE,BAMBO,KIWEWE,KIPEMBA,MATUMAINI,KINGWENDU na swahiba wake RAY(eti naye anajiita The Greatist)