Nimefuatilia mwanzo mwisho, neno kwa neno! Umeipanga viziri,Umesoma lakini.....?!
Daah hii ngoma ni classic. We mtoto unakipaji kikubwa sana!
You have an uncanny ability to put things into perspective and communicate a msg with the mass. It is indeed a truly marvelous talent. I am impressed and very proud of you Lizzy!
Ndio ni msikivu saaaaana. ebu tuonane lunch time leo nataka kukupa offer ya lunch ili nikuume sikio.Mimi Matola ni msikivu. By Lizzy
Kumbe Matola ni msikivu kweli ehh? I'm proud of you!:clap2:
Kama kuna malipo poa...
............mapozi ya nini sasa!Niume kwanza ndo nijue kama hiyo lunch inakua au la...
Haya bana ngoja tusubili ule muda wetu wa bootying time, saa hizi watoto wote wameshaamka. si unajuwa sisi ndio tunakuwaga wa mwisho kufunga mlango.Kukuruhusu uniume sikio ni bora kuliko hata kukununulia lunch...trust me!!!