Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,419
- 92,771
Don't Sleep baby, naleta Burrito from chipotle Mexican Grill.Aisee.....
Nadhani muda wa kulala umefika.
Don't Sleep baby, naleta Burrito from chipotle Mexican Grill.Aisee.....
Nadhani muda wa kulala umefika.
Wewe umepost hii coment ukiwa umelala?Peoples za jf hazilali kabisa utafikiri walinzi wa benk
Jamani....unataka nimalize leo leo?!
Thank youWe Matola embu badili hiyo signature bana...
niandikie unayopenda wewe,.....mimi nitaicopy na kupaste.We Matola embu badili hiyo signature bana...
Hivi kumbe bado?!Pole mpenzi...tafuta basi hizo piriton usinzie!!
Akon- Beautiful - YouTubeOwkey...."Mimi Matola ni msikivu"
Nimeweka kwenye replay mode huku nanusa kale kadogo ulikosahau na picha yako nimelala nitakuona kesho ibadani ukae MbeleAsante baba mchungaji....
Ubarikiwe na Yule muweza wa yote! Naandaa misa silaliHahahaha....nite nite baba mchungaji!!