SUPERUSER JF-Expert Member Jun 11, 2011 960 304 Dec 17, 2011 #1 Ndugu mwana JF, Umepokea Tsh 10,000,000/= kutoka kwa DAVID CAMERON wa UK..Bado hajasema za nini ila kasema wee jisikie huru tu kuzitumia!
Ndugu mwana JF, Umepokea Tsh 10,000,000/= kutoka kwa DAVID CAMERON wa UK..Bado hajasema za nini ila kasema wee jisikie huru tu kuzitumia!
B BatteryLow JF-Expert Member Aug 14, 2011 446 149 Dec 18, 2011 #2 unakoelekea si pema, mazara yake ni makubwa!
Erickb52 JF-Expert Member Oct 31, 2010 18,539 11,442 Dec 18, 2011 #5 "}';'l''p[plpojoikjhjgfgfd !!!!!!!! kaa mee ruu nini
Rejao JF-Expert Member May 4, 2010 9,220 4,056 Dec 18, 2011 #6 Huyu jamaa atakuwa ni punga..anajaribu kujitangaza hapa! Jaribu kumpm kama hujajifaidia!!
Erickb52 JF-Expert Member Oct 31, 2010 18,539 11,442 Dec 18, 2011 #7 Rejao said: Huyu jamaa atakuwa ni punga..anajaribu kujitangaza hapa! Jaribu kumpm kama hujajifaidia!! Click to expand... Kujifaidia pinga????? Rejao acha utani aisee
Rejao said: Huyu jamaa atakuwa ni punga..anajaribu kujitangaza hapa! Jaribu kumpm kama hujajifaidia!! Click to expand... Kujifaidia pinga????? Rejao acha utani aisee