Fatma Bawazir
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 492
- 180
kulitoke tangazo moja Ukiwa na watoto kumi utapata zawadi ya nyumba na gari
MKE: sasa mumewangu sisi tuna watoto nane itakuwaje
MUME: mkewangu nisamehe nna watoto wawili nje ya ndoa ngoja nikawachukue alipo kwenda kuwachukua kurudi akawakuta wale watoto nane hawapo akauliza
MUME: wakowapi hawa watoto
MKE :wote wamekuja kuchukuliwa na baba zao
MKE: sasa mumewangu sisi tuna watoto nane itakuwaje
MUME: mkewangu nisamehe nna watoto wawili nje ya ndoa ngoja nikawachukue alipo kwenda kuwachukua kurudi akawakuta wale watoto nane hawapo akauliza
MUME: wakowapi hawa watoto
MKE :wote wamekuja kuchukuliwa na baba zao