Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,801
- 59,274
- Thread starter
- #61
Hus nimekusoma mwaya.
Ukwelini kwamba maadili hayakosekani kwa wanaopokea bali kwa wanaotoa pia.Wote wapo kwenye kundi moja, maana ikitokea mmoja akiamua katu katu hatoi/hapokei mwenzaki hawezi kumlazimisha.Kuna namna nyingi tu za kuepukana na rushwa ya ngono (kwa wale wanaodai walilazimika kutoa) sema tu watu wanapenda urahisi.Hawataki kuhangaikia wala kupigania kile wanachotaka.
Sema case namba moja naweza kumtetea maana kwa kua binti mdogo amabae amekosa support ya mwalimu wake wa darasa ,pengine hata wazazi/walezi anaweza hata akabakwa ikiwa hatoamua mwenyewe kukubali. Inatisha kweli kwamba mtu unaemtegemea kukulinda hatoi msaada unaohitajika na kuishia kumwambia bibti avumilie.Mi mijitu kama hiyo ningeipeleka jela yote. . .
Ukwelini kwamba maadili hayakosekani kwa wanaopokea bali kwa wanaotoa pia.Wote wapo kwenye kundi moja, maana ikitokea mmoja akiamua katu katu hatoi/hapokei mwenzaki hawezi kumlazimisha.Kuna namna nyingi tu za kuepukana na rushwa ya ngono (kwa wale wanaodai walilazimika kutoa) sema tu watu wanapenda urahisi.Hawataki kuhangaikia wala kupigania kile wanachotaka.
Sema case namba moja naweza kumtetea maana kwa kua binti mdogo amabae amekosa support ya mwalimu wake wa darasa ,pengine hata wazazi/walezi anaweza hata akabakwa ikiwa hatoamua mwenyewe kukubali. Inatisha kweli kwamba mtu unaemtegemea kukulinda hatoi msaada unaohitajika na kuishia kumwambia bibti avumilie.Mi mijitu kama hiyo ningeipeleka jela yote. . .