kuna binti alikuwa kaajiliwa kwenye ofisi ya kaka wa rafiki yangu ambaye ni agent washirika la ndege sasa akaja jamaa yye kaajiliwa kwenye kampuni ya ndege akamwambia yan mrembo kama ww umeajiliwa na agent acha kazi uje ofsin kwetu tuna nafasi binti kwa tamaa kaacha kazi siku hiyo hiyo jamaa kamtoa chakula cha jioni alafu akamwomba mambo flan.
binti katoa afu kamwambia aje asubuhi ofsin kwao. binti kwenda pale kakuta walushaajiri mtu jana yake na hiyo siku ndo kaanza kazi.
binti katoa afu kamwambia aje asubuhi ofsin kwao. binti kwenda pale kakuta walushaajiri mtu jana yake na hiyo siku ndo kaanza kazi.