makandokando
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 299
- 20
Chukua karatasi, halafu andika jina lake lote....na kama unaweza pia weka jina la mwisho la mama yake kabla hajaolewa, halafu malizia na jina la utani la wife.
Kwa mfano: Jackline James Mwamtambo Kitimoto Binti Machozi (hapa binti machozi jina la utani la wife, na Mwamtambo jina la mwisho la mama)
Halafu nenda kanunue chocolate. Kula chocolate yote, bakisha kipande kimoja tu, halafu hicho kipande nacho kimege. Kinachobaki kiweke kwenye hilo karatasi (hakikisha karatasi ni safi). Halafu andika maneno yafuatayo:
"Haiwezi kuwa tamu bila kukushirikisha na wewe...karibu chocolate"
Kwa mfano: Jackline James Mwamtambo Kitimoto Binti Machozi (hapa binti machozi jina la utani la wife, na Mwamtambo jina la mwisho la mama)
Halafu nenda kanunue chocolate. Kula chocolate yote, bakisha kipande kimoja tu, halafu hicho kipande nacho kimege. Kinachobaki kiweke kwenye hilo karatasi (hakikisha karatasi ni safi). Halafu andika maneno yafuatayo:
"Haiwezi kuwa tamu bila kukushirikisha na wewe...karibu chocolate"