Zawadi Mwanangu alizompelekea Mama yake (My -X) zimezua utata

Mkiambiwa muache uzinifu hamtaki. Hayo ndio baadhi ya matatizo ya uzinifu. Kila mmoja atabeba msalaba wake.
 
Mkiambiwa muache uzinifu hamtaki. Hayo ndio baadhi ya matatizo ya uzinifu. Kila mmoja atabeba msalaba wake.

Kaka katika mazingira haya huo uzinifu unakujaje??
Katika hili suala nyinyi hapa Wana-Jf ni wenzangu, ningekua nime-do nae nisingewaficha wakuu, mi sija-do nae kabisa, na hata mawasiliano na mwanae wanafanyaga wenyewe kupitia simu ingine ya nyumbani anayotumia mtoto.
Usinihukumu kama huyu Jamaa mkuu wangu, we ni mwenzangu,
tusaidiane kaka,
Leo kwangu, kesho kwako.
 
Shark
Insecurity ya huyo bwana haitaisha! Ongea na mzazi mwenzio, umchukue mtoto wako ukae naye. Kama kumsaidia mama mtoto wako mfungulue biashara kwa siri; then kata mguu.
 
Shark
Insecurity ya huyo bwana haitaisha! Ongea na mzazi mwenzio, umchukue mtoto wako ukae naye. Kama kumsaidia mama mtoto wako mfungulue biashara kwa siri; then kata mguu.

Mtoto wangu yupi sasa?
Mkuu hujaelewa hii issue labda, mtoto wangu ninakaa nae mwenyewe, huyo aliezaliwa si wangu, ninahusiana nae tu kama mdogo wake mwanangu kwa mama mmoja.
 
Papa ulishajua kuwa unamzidi kipato qanini ulipeleka zawadi kubwa (qa upande wake) kuliko kipato chake? Hiki ndio chanzo cha tatizo. Qa mtoto wa qanza ulipeleka zawadi gani? Wengine zawadi tupelekazo mara nyingi qa waliojifungua ni fedha na sio mali . Plz jifunze kutokana na makosa. Lakini Iwe itakavyokuwa kipimo cha vinasaba ni muhimu ili kuondoa utata. La mwisho, qa kipindi hiki ambacho mawasiliano na wenzake sio mazuri "qa siri sana mpe hela ndefu ya kuweza angalau kumhifadhi kwa miezi mitatu.

Bazazi ni Bazazi!
 
Mtoto wangu yupi sasa?
Mkuu hujaelewa hii issue labda, mtoto wangu ninakaa nae mwenyewe, huyo aliezaliwa si wangu, ninahusiana nae tu kama mdogo wake mwanangu kwa mama mmoja.

Aah! I got u, ila honestly what do u feel about mzazi mwenzio? Maana kama ni issue ya zawadi tu, mbona kumpa mama yake ilikuwa rahisi tu!
 
Aah! I got u, ila honestly what do u feel about mzazi mwenzio? Maana kama ni issue ya zawadi tu, mbona kumpa mama yake ilikuwa rahisi tu!

Zawadi sio ya mimi na mama yake,
Ni between Mwanangu na Mdogo wake aliezaliwa.
Sema tu ni wazi kua mwanangu hana kipato cha kununua yeye hiyo zawadi, Na huyo mdogo wake sio Mkubwa wa kuweza kupokea zawadi, so ikabidi mimi ninunue na Mama mtu apokee.
 
Sishauri kijana kuoa mwanamke ambaye ameshazaa na mwanaume mwingine na mwanaume huyo bado yuko hai. nafikiri ni vizuri kwa mtu mwenye miaka kuanzia 50 ndio inaingia akilini kuoa mwanamke wa category hiyo, ukiwa bado kijana tafuta mwanamke ambaye yuko fresh.
 
Dah! Hawa wazee nao noma, badala ya kutatua tatizo wao wanaongeza tatizo, ukubali mtoto wako wakati si wako, je ukifanya hivyo halafu huyo mwanaume akaamua kumuacha huyo x wako itakuwaje.

Halafu nikuulize shark, wewe umeshaoa?

Wazee walioshirikishwa hapa ni wa upande wa pili, but tatizo la wazee hawa ni kua tayari wana " Marking Scheme" zao kichwani, eti wananiambia nikubali kua mtoto ni wangu ili yaishe
 
Heshima kwenu Wadau,
Nina mtoto ambae nlimpata Kitambo tu nkiwa Form 5 Mwaka 2000 but sikubahatika kuendelea na Mama yake kwani sikua tayari kuanza Maisha ya kujitegemea wakati huo.
Sasa yule Dada akaolewa na Jama m wengine na wakapata watoto wengine wawili akiwamo aliezaliwa last month.
Kwakua Mwanangu ana mawasiliano Na Mama yake habari zikamfikia na kuniomba nimnunulie zawadi za Baby Starter Kitampelekee Mdogo wake aliezaliwa (kwa mama yake).
Tatizo limekuja sasa Mume wa huyo X wangu amemsusa huyo mtoto mpya akidai ni wangu, eti na ndio maana nimempelekea Zawadi.
Namuonea Huruma mkewe anaingia matatizoni wakati ukweli sija-do nae toka mwaka 2000 aliponizalia mtoto. Sasa hasaidiwi kwa chochote Na mumewe kiasi ananiomba kama nina hela kidogo nimsaidie.
Nimetumiwa Wazee waje waniulize/wanishawishi niseme ukweli but kila nachowaambia hawakubali.
Vipimo vya DNA ndio kabisaa hawaviamini eti baada ya hivi laribuni kutoa matokeo kua zaidi ya nusu waliopimwa walikutwa wamesingiziwa.
Nifanyaje wadau????

huyo mume wa x wako ana matatizo makubwa ya kutojiamini
 
insecurities kwa mwanaume haziezi kukosa! kuna watu wana argue as if hyo jamaa ana behave irrational si kweli infact ndo hasa anavotakiwa kubehave! we mtu walikuwa wapenzi na mkeo mpaka wakazaa mtoto! pamoja na ilo jamaa kaamua kuoa! afu unagundua wanawasiliana na zawadi juu! *****# type! inaleta dharau kwa mwanaume!!! insecurity = wivu!!
 
Sishauri kijana kuoa mwanamke ambaye ameshazaa na mwanaume mwingine na mwanaume huyo bado yuko hai. nafikiri ni vizuri kwa mtu mwenye miaka kuanzia 50 ndio inaingia akilini kuoa mwanamke wa category hiyo, ukiwa bado kijana tafuta mwanamke ambaye yuko fresh.

Mkuu kwa mwanamke je? unashauri vp?
 
Dah! Hawa wazee nao noma, badala ya kutatua tatizo wao wanaongeza tatizo, ukubali mtoto wako wakati si wako, je ukifanya hivyo halafu huyo mwanaume akaamua kumuacha huyo x wako itakuwaje.

Halafu nikuulize shark, wewe umeshaoa?
Siwezi kukubali kulea mtoto asie wangu, hata kidogo, na DNA niko tayari kupima wakikubali.
Kuhusu kuoa bana bado kwa kweli,
 
Back
Top Bottom